Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Lakini majority wana fall hapo kwenye Kuhitaji
Romanticism, utasikia the way he holds me it feels safe and protected

Yaani wengi wao wanapenda ukachumbari kachumbari
Hahaha ila usisahau ambao hawataki hilo maana wanamuona kidume ni kama boya akifanya hayo hasa chugan girls.

Watoto wa pwani ndio wanapenda zaidi hizo hanky panky biz 🤩
 
Hahaha ila usisahau ambao hawataki hilo maana wanamuona kidume ni kama boya akifanya hayo hasa chugan girls.

Watoto wa pwani ndio wanapenda zaidi hizo hanky panky biz
Sie wa pwani ndio tunapenda kudekezwa, kuambiwa hata vya uongo, yaani ilimradi tu tujione watu hahahahhahaha
 
Maraaaa paaaaa umeamka asubuhiii miguuu imegeuka ya Bataa pua imegeuka mdomo wa bataaa

Mleta madaa zungumzaaa na muhusika ukitazama vidole havilingani hivyoo kaachini na muhusika hakuna binadamu aliyekamilika 100% linda ubavu wako tuyeazi umegundua mapungufu usiyapalie Makaa'' vuta pumzi shusha pumziiii''
 
Kumbe hizi ni hasira za kuuzungumza ukweli? Basi shukeni tu, ila mwende Pwani mkapewe jando kidogo.
SIO HASIRA BIBIE ULITAKA JAMAA AFANYAJE YAN FORMULA SI ILEILE PUMP PUMP STOP PUMP STOP AU ULITAKA ARUKE KICHURACHURA KWENYE K MIXA MSAMBA SI UNAONA NCHI YENYEWE HIHII SASA HIV MAZAGAZA
 
Back
Top Bottom