Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Ohooooo hahaahahahhaWalevi matatizo sana
Ohooooo hahaahahahhaWalevi matatizo sana
Sijambo kiongozi habari ya weweAggghhh!!!! Hujambo zesh???
Asahazoeea kukunwa jichoo huyoo sio burew
Haya ndio maneno, atakuwa ana wivu nanyi si bure.Upo uzi humu ulikuwa unawazungumzia wanaume wa pwani. Sifa zetu tupewe jamani, wanawake wanahitaji kubembelezwa na kuenziwa. Mwanamke ni mtu muhimu sana kwa ustawi Bora wa mwanamme.
Ili waweze kutustawisha ilivyo sawa basi inabidi tujue namna njema ya kuwa-handle pia.
Acha nisiseme mengi
Wewe wasema!!!! Wa pwani gani hawa mbona wangu mie hayuko namna hiiUpo uzi humu ulikuwa unawazungumzia wanaume wa pwani. Sifa zetu tupewe jamani, wanawake wanahitaji kubembelezwa na kuenziwa. Mwanamke ni mtu muhimu sana kwa ustawi Bora wa mwanamme.
Ili waweze kutustawisha ilivyo sawa basi inabidi tujue namna njema ya kuwa-handle pia.
Acha nisiseme mengi




mmh labda huyo hajakulia uchagani...sawa ni wazuri kwenye kuongea kama cherehaniSidhani, kaka yangu kaoa binti wa kichaga na huwa anawasifia sana mabinti wa kichaga.
Sasa kwanini unasubiri mpaka umalize ujenzi si umuache tu sasa hivi uondoke?We malizia vyovyote tu if it wiil make you sleep well at night.
Namalizia ujenzi wa kwangu then nihamie kwangu. Na hajachangia hata msumari kwenye ujenzi wa nyumba yangu.
Kumbe hizi ni hasira za kuuzungumza ukweli? Basi shukeni tu, ila mwende Pwani mkapewe jando kidogo.BIBIE LEO UNALO TUNAKUSHUKIA JUMLA JUMLA UMETOCHOKONOA SASA TUNAKUJA FULL MBATA ETI JAMAA KAPOOZA SASA KAMA UNA K KAMA MSASA JAMAA ANAUGULIA MAUMIVU
Soma uzi, wamethibitisha wao wenyewe, mie nilichokonoa mada tu baada ya kupatwa na wawili na story za hapa na pale.Hiyo conclusion ya wanaume Wa kichaga kupooza umeifanyia research Kwa wangapi ?, kupooza Kwa mtu kunahusiana na kabila kumbe duuh, poleni wakaka Wa kichaga![]()
![]()
bado najifunza, ila nashukuru kwa asilimia kubwa nimefanikiwa kuelewa saikolojia zenu😆😆😆Raha ya mwanaume awe jeuri jeuri walau kidogo
hujakosea mkuu hawa majamaa wanapenda ngonoKama unataka mapenzi mtafute mngoni
Aisee wewe yaani hata vitu vya kuongea na mashosti zako pia hujui!!? Hivyo ni vitu vya kusema kwa mashosti zako!?Huyu ni wapili sasa, nikapiga story na mashosti walowahi kudate wachaga story is still the same. Nyie wenyewe mmethibitisha kwenye uzi huu kuwa mmechangamka kwenye utafutaji tu sio upande wa pili.
Sio kwamba tunapenda mkorofi, mwanaume akiwa mpole sana anaboabado najifunza, ila nashukuru kwa asilimia kubwa nimefanikiwa kuelewa saikolojia zenu
Sasa jeuri ya nini, mnaipendea nini mtu kotofi
Wewe si ndiye unayelalamika,muache basi kwanini unamng'ang'ania huku unamsema pembeni?? Eti mpaka umalize ujenzi,wakati hatoi hata senti ya ujenzi....unasubiri nini sasa??Kwani mimi muda wangu haupotei?
Mie sitakunyima mabanz ukizingua🤩🤩🤩 nadhan tutaenda sawa. Mwanaume mpole ni yupi kwenu?Sio kwamba tunapenda mkorofi, mwanaume akiwa mpole sana anaboa
Nasubiri nimalize nyumba yangu ndio nimuache. Ebu jiongeze na weweMbona hajasema Kama anajengewa?
Halafu majibu yenyewe ya kitoto sana, kwa umri wako ungetafuta tu mwanaume wa kukuoa, si kutafuta soko kama hivi mtandaoni tena JF bora ungeenda huko facebook.Ushapata hilo soko au bado biashara ngumu?