Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

EE MUNGU VIJANA WA KIUME FUPISHA SIKU ZAO MAANA WANATUSABABISHA TUKUTENDE DHAMBI AU WATUMIE GHARIKA
Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.
Don`t be rash with your mouth, and don`t let your heart be hasty to utter anything before God; for God is in heaven, and you on earth. Therefore let your words be few.
 
Kwakwel hii tabia ina kera mnooo..mtu bila hata aibu anakwambia kabisa baby naomba ela nisogeze wiki kwel kabisa mwanaume mzima unaomba ela kwa msichana kabisaa,alaf apo ndo nitegemee utakuja kuwa baba bora wa familia hapana..maana huwa nawaza kama tu kupangilia bajet zako mwenyewe vzuri huwezi aya tukija kuwa na familia mimi si ndo nitakuwa mama na baba pia maana nijue mmekula,watoto wameenda shule na nk.
Na bora mtu aombe mara moja jaman kila mara yy ni kuomba tu aaaah,kwakwel hizi txt huwa zinanichoshaaa na huwa zinafanya upendo uishe kabisa
[emoji1] [emoji1] mi naishia kucheka tu. Ilw nawaomba nyie wadada mtuelewe jamani pesa zimekuwa ngumu kupatikana kama hamtaki bora muendelee kukaa single kama mnaona hamupati faida ya mapenzi.
 
Shida zipo na kama mtu ni wapenzi mnaweza kusaidiana sasa inapotokea mmoja ndo mwenye shida kila siku apo inakuwa ni shida.sasa mwanaume unapoomba ela kwa mwanamke aya na mm mwanamke nifanyaje?maana nature mwanamke anapenda kupendwa kuhudumiwa na kujaliwa sasa tena mm nianze kuwa nakupa tu lool hapana Kwakwel
Yan mwanaume ukishaniomba ela tu ndo bye bye mwalimu sikutaki tena.
Kaa hivyo hivyo,kwani wew si unalipwa mshahara kama wanaume pia,kwa nini upende kupewa wewe tu.
 
Daah siamini kukusugua vyote vile kitandani unakuja kunifungulia nyuzi jf kisa nimekuazima visenti vyako, nitalipa!!
 
[emoji1] [emoji1] mi naishia kucheka tu. Ilw nawaomba nyie wadada mtuelewe jamani pesa zimekuwa ngumu kupatikana kama hamtaki bora muendelee kukaa single kama mnaona hamupati faida ya mapenzi.
Bora kila mtu abaki na hela zake basi
 
Back
Top Bottom