Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Una hasiraaaa...... du!
 
Ha ha ha haaa itabidi uanzishe operesheni kabisa!!! Maana si kawaida hadi kutuma pic za wadada PM? Hadi kujisifia kutongozwa hahaa hapana.... bring back your real men!!
Ni kweli kabisa binamu
 
Mimi sio "mkuu". Mimi ni "babu"
Hahahah nimeona eve analalama humu wahongaji tumepotea JF wamebaki wakopaji!!

Eti mhenga mwenzangu yaani vijana wanawakopa elfu 10 mabinti enzi zetu ilikuwepo hiyo? Nakumbuka enzi hizo hata ticket ya ndege economy class walikua wanakataa hawa Leo wanakopwa elf 10 ahahahahahaha
 
Wakati mnaxhukua pesa za Wanaume mlikuwa mwaona raha Leo mnatoa mwaona shida. Kumbe kutorudisha mikopo Ndo kinafanya wanawake kujipanga barabarani Ok tumekupata
 
Hahahah nimeona eve analalama humu wahongaji tumepotea JF wamebaki wakopaji!!

Eti mhenga mwenzangu yaani vijana wanawakopa elfu 10 mabinti enzi zetu ilikuwepo hiyo? Nakumbuka enzi hizo hata ticket ya ndege economy class walikua wanakataa hawa Leo wanakopwa elf 10 ahahahahahaha
Mhenga mwenzangu...

Dunia inazunguka wallah. Si ilikuwa ukimwambia binti apande Dar Express anakublock. Tunapambana apande japo economy class Precision Air...

Hivi sasa eti mabinti ndo wanaombwa wawakopeshe vijana wetu.... afu dogo akikuta naogelea na Mzigua90 pale Kunduchi Wet n Wild anaona babu namwonea... kumbe hajui kashindwa kutimiza wajibu wake.

Waambie hawa madogo... kwa niaba yangu tafadhali... wanaume tumeumbiwa mateso, kuhangaika.

Wasitulaumu... wapambane. Vinginevyo watusamehe tu... maana hamna namna tena.
 
Mhenga mwenzangu...

Dunia inazunguka wallah. Si ilikuwa ukimwambia binti apande Dar Express anakublock. Tunapambana apande japo economy class Precision Air...

Hivi sasa eti mabinti ndo wanaombwa wawakopeshe vijana wetu.... afu dogo akikuta naogelea na Mzigua90 pale Kunduchi Wet n Wild anaona babu namwonea... kumbe hajui kashindwa kutimiza wajibu wake.

Waambie hawa madogo... kwa niaba yangu tafadhali... wanaume tumeumbiwa mateso, kuhangaika.

Wasitulaumu... wapambane. Vinginevyo watusamehe tu... maana hamna namna tena.
Teh teh Evelyn Salt kaongea kwa uchungu sana!! Kidume kinajisifu kina kampuni halafu kinakopa sh. 10000/= kwa demu aisee aibu!!

Itabidi wanaume halisi turudi aisee hii hatari!
 
Wakunyumba acha tu kuna mkaka huwa namuheshimu aisee nahisi asilimia 50 ya wanawake wa humu anawajua walivyo na atafanya juu chini lazima akujue au apate no yako na alivyo anavyokuja huwezi mdhania acha tu niishie hapa mwisho wa siku asimuonyeshe mtu picha yangu halaf huyo mtu najuana naye anamwambia hivi unamjua shunie ndio huyo masikini kumbe mtu wa watu ananijua ila nilimpa yake nilimwambia sio vizuri hivi kwa mfano angekuwa hanijui ingekuwaje na pics ikisambaa kwingine thread itakuhusu jf
Ifikie hatua watu kama hawa tuwaanike live ili waione nguvu ya wanawake!

Japo wanawake hatunaga ushirikiano wa kutosha....tukisimama imara wanawake 10 tu, heshima kwa wanawake itarudi
 
Back
Top Bottom