Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Hahahah nimeona eve analalama humu wahongaji tumepotea JF wamebaki wakopaji!!

Eti mhenga mwenzangu yaani vijana wanawakopa elfu 10 mabinti enzi zetu ilikuwepo hiyo? Nakumbuka enzi hizo hata ticket ya ndege economy class walikua wanakataa hawa Leo wanakopwa elf 10 ahahahahahaha
Tumetubu Lusungo, yani tumekomaaa.....
Kwa niaba ya wanawake wengine tunawaomba mrudi.
 
Duuuh pole sana kwa kukopwa,nadhani wanaofanya hivyo ni wavulana si wanaume wa JF........kuna pahala nadhani mnachanganya aisee!!
Ahsante nshapoa, 37 years ana uvulana gani jamani!!!
Angekua punda si kishaanza kubeba mizigo
 
Ukiona hvyo ujue wanaume tumeanza vzuri kurudusha hela zetu mlizokua mnazichukua hapo mwanzo
 
Utamkopaje demu?? Mademu hua wanakopwa Kipochi Manyoya tu... Mambo ya hela waachie wao wenyewe.... Jiulize kwa nini wakati ukiwa chuo, boom likizama anatafuna boom lako lote, na baby nyingi zakutosha,boom lako likikata jaribu kumwambia naomba walau jero nikanunue mkate,utapewa budget hiyo,utazani yeye ndo waziri wa fedha wa Tanzania... Hua zinaga tabia yakukopa wanawake,kwanza sio wavumilivu,leo umekopa usije shangaa ukajikuta ushatangazwa kwa watu wake Zaidi ya sita, ingawa sio wote wenye tabia kama hizi
 
Back
Top Bottom