RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,506
- 135,539
Mbagala Kizuiani.Kweli nakuja hivi unakaa wapi vile
Mbagala Kizuiani.Kweli nakuja hivi unakaa wapi vile
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakinigeuka na mama yake nitamwachia Mungu tu
laana yao inatutafuna, inabidi tukae kikao cha kuwaomba msamahaHahahaaaa!! Na hata hapo bado tunaweza kuzunguza zaidi. Maana sio kwa balaa hili walilotuachia.
Hahaha RRONDO ni fireeeNimecheka saana Mtu anasomeshwa hadi timu [emoji23] [emoji23]
Na siku ukinikopa nakufungulia thread, hauruhusiwi. Mii ndio naruhusiwa kukukopa. Alafu nimekumbuka, fanya kamchakato basi.Wewe jitoe kwenye list ya kunidai mapema maana navyokujua haukopeki, ukitumiwa kameseji
espy nikuambie unapotea unakuja kujibu week ijayooo..sasa mtu wa hivi atakopekaje?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ilikua haijasambaa sana alimtumia sakayo sema kuna siku inna kaniambia shunie me nakujua bana nilikua nabishana na mtu namwambia me mbaya inna akanijibu hivyo nikamwambia hunijui akaniambia nakujua mm wala sio mbaya kama unavyomwambia huyo kaka nikawaza tu usikute na inna zilimfikiaNipo bhn naona leo Zamu yetu... namlaani aliyesambaza picha yako pasipo hata mie kuitia machoni.
Jana nilikua huko nakuja usijalMbagala Kizuiani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo kauli imenikumbusha Evelyn Salt
ole wake mwanaume yule anaejilinganisha na mwanamkeWaone hata hamna haya nyinyi wanawake sisi kuwakopa ni dhambi ila nyie kutupakua salary ni baraka eti eeeeh
Bado hoja haijakamilikaMmoja au wawili!!!!!!
List ni ndefu mnoo. Wengi wape.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama mzee wa mbuzi ye huwa anasema kila mwanamke humu Kamtongoza, kila mwanamke kamuomba hela yani unaaweza dhani sijui anafananaje....kuhusu sura yake namuachia Mungu!!!
Huyu jamaa ni motoHahaha RRONDO ni fireee
Nawe unamdaije mwanamke pesa jamani!!Hata sisi tukiwa wazee tutakuwa nazo tu pesa........daaah kuna wanawake watatu walinikopa kwa muda tofauti mpaka kesho huwa nashindwa hata kuwadai daaah nishasamehe aisee!!
Mmh!!ole wake mwanaume yule anaejilinganisha na mwanamke
Wacha nimalizie kuuza vimbuzi vyangu nione kinachobaki kwanzaNa siku ukinikopa nakufungulia thread, hauruhusiwi. Mii ndio nauhusiwa kukukopa. Alafu nimekumbuka, fanya kamchakato basi.
Wewe hapo. Alafu nina kesi na wewe ngabu.Mzee wa mbuzi ndo nani?
mtu mzima ndio, sometimes tunawasingizia boys kumbe kuna mahenga mapumbavu pia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eve samehe mbavu zangu mimi khaaah!!
Alafu mtu mzima tu eti, si balaa hili!!
Si walinikopa sasa kwa nini nisiwadai?Nawe unamdaije mwanamke pesa jamani!!
ha ha ha we bana NN hawezi kuwa mzee wa mbuziWewe hapo. Alafu nina kesi na wewe ngabu.