Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Mbona me huwa nazipandaga zile me wa vyote vyote sinaga makuu mtoto wa watuHaya nipe namba nikutumie hela ya Uber mtoto kama wwewe zile dcm za mbagala huziwezi
Mbona me huwa nazipandaga zile me wa vyote vyote sinaga makuu mtoto wa watuHaya nipe namba nikutumie hela ya Uber mtoto kama wwewe zile dcm za mbagala huziwezi
Wangejua wangetuheshimu sanaaa,,Wanatakiwa watuheshimu sana hawajui tu
Wavulana ndo wanao shindwa.Kutunza siri,,lakin mnashindwa
Inabidi tutafute jaji kwakweli.Haya njoo kwenye mahakama yangu. Jaji ni mimi mwenyewe.
Aisee...watoto wazuri mara nyingi hawana mambo mengi...ila njoo na Uber tu ndio kazi ya hioMbona me huwa nazipandaga zile me wa vyote vyote sinaga makuu mtoto wa watu
Hapanaa nakataa wengine watu wazima tuWavulana ndo wanao shindwa.
Nyie mkiona ndevu kifua kipana mnazani keshapevuka kumbe ni haya mayai ya kisasa kuweni makini
Jaji ni mimiInabidi tutafute jaji kwakweli.
Njoo na id yako maarufu tafadhalininahitimisha hapa mnatupigia kelele tu za kike hamna lolote.
Me sinaga makuu mwendokasi ndio zangu haya tuma hiyo hela kwa ile no yangu ya halopesa nikujeAisee...watoto wazuri mara nyingi hawana mambo mengi...ila njoo na Uber tu ndio kazi ya hio
Basi sawa sipingingi kama umehakikiHapanaa nakataa wengine watu wazima tu
Sharti hilo dogo tu limekushinda, khaaa!! Basi usithubutu kwenda kwa mganga, teh!Khaaa rushwa tena halaf sio ya hela hapana nimeshindwa mie mbona huwa anaweka thread kanunua kwa mangi blue band iliyoexpire nipo nae hapa hapa kwa jiji la bashite
Kwamba yuko mbali hawezi kukula .... Hiyo hela anakupa tu zawadi kama zawadiSiamini ninii tena mito ulichosema
Nami bado nakitafuta sijakijuaHata sijui nimefanya nini kilichomuogopesha huyu mrembo
Ahahha hiyo rushwa imenishindaSharti hilo dogo tu limekushinda, khaaa!! Basi usithubutu kwenda kwa mganga, teh!
Me sijakataa anitumie tu halaf kukulwa ni uamuzi tuKwamba yuko mbali hawezi kukula .... Hiyo hela anakupa tu zawadi kama zawadi