Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,390
Inaweza ikawa yangu mwamini tu ipoje hiyo picha
Dimples
Inaweza ikawa yangu mwamini tu ipoje hiyo picha
Hapana sio yanguDimples
Nije wapi [emoji23]Njoo uchukue
Sura wanaume wa jf tumemuachia Mola,,nilitaka kusahau mtu ka sura kachunguuongelea pesa tu, sura muachie Mungu Dina
Itakua ya ommy basiHapana sio yangu
Hapana sio yangu
Ha ha ha ha ka sura aloe veraSura wanaume wa jf tumemuachia Mola,,nilitaka kusahau mtu ka sura kachunguu
Nije wapi [emoji23]
Wanaongea hawa watuItakua ya ommy basi
Utalipa?Nikopeshe na mimi basi
Nimecheka sana. Pole lakini!Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Hhahahaha jumlisha muarobainiHa ha ha ha ka sura aloe vera
Muwe mnasema sasa tunajua maana hata sisi tuna shida ya hela piaMwanamke huwa hakopeshwi, anapewa. Hivyo mkopo huwa ni ombi tu la indirect.
Ndo umeamua kuja kunitangaza public....nasemaje umenivua nguo ukweni[emoji16] [emoji16]Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Kulala ni matokeo tu u never knowKhaaaa silali nje ya kwangu labda itokee dharura kubwa ya kufanya nisirudi kwangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sura wanaume wa jf tumemuachia Mola,,nilitaka kusahau mtu ka sura kachunguu
WavujajashoHahahaaaaa!! Kwa sura gani nzuri walizonazo sasa!! Watakwambia "mwanaume hasifiwi sura" ila pesa pia nehiiii[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ahahha inawezekana aise ningekuwa na dimples ningeringaje shunie mmItakua ya ommy basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajikutaga kama waumbaji vile kumbe hata nzi hajawahi umba, nyodo kibaooo. Yaani unampa jibu moja takatifu akukumbuke milele.
SawaSiku moja ntakuonyesha ninayo kwny icloud