Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Zoteeeee, hadi usizozitegemea[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Wewe jitoe kwenye list ya kunidai mapema maana navyokujua haukopeki, ukitumiwa kameseji

espy nikuambie unapotea unakuja kujibu week ijayooo..sasa mtu wa hivi atakopekaje?
 
Hapo pa umbea ndio acha kabisa, kuna mmoja aliwahi jisifia kuwa alitongozwa na wanawake wawili humu, tena hao wanawake maarufu tu humu. Kuja kufuatilia kumbe muongooooooo, kazi kuchafua wenzao tu sijui wafaidike na nini. Alafu lijitu lizima tu hadi unabakii kumuonea mkewe na wanae huruma.
Kama mzee wa mbuzi ye huwa anasema kila mwanamke humu Kamtongoza, kila mwanamke kamuomba hela yani unaaweza dhani sijui anafananaje....kuhusu sura yake namuachia Mungu!!!
 
True.. wazee wanajua hawatakiwi kukufuja bure bure
Hata sisi tukiwa wazee tutakuwa nazo tu pesa........daaah kuna wanawake watatu walinikopa kwa muda tofauti mpaka kesho huwa nashindwa hata kuwadai daaah nishasamehe aisee!!
 
Kama mzee wa mbuzi ye huwa anasema kila mwanamke humu Kamtongoza, kila mwanamke kamuomba hela yani unaaweza dhani sijui anafananaje....kuhusu sura yake namuachia Mungu!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom