Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Hata nyie wanawake siku hizi mnakuja na gia za kukopa sn



Sasa hivi nmeacha habari ya kukopesha wanawake maana hamna hata mmoja aliyenirudishia halaf mnakuja na gia ya kukopa pesa ndogo ndogo
Aisee nikopeshe twenty tu ntarudisha next week
 
Aseeh, ila naskia u mzuri hatari

Sasa kwa uzuri wako kwanini nikiipata picha yako nisijitangaze nimekukula nipate sifa humu ndani?


Mwaka jana mwishoni kuna mrembo aligombana na mimi kisa huu utani wa pm amenirushia pics zake kesho yake akawa anataniana na rafiki yangu wa humu.

Huyo jamaa akamwambia nakujua wewe tena nina picha yako. Yule dada mkukumkuku akaja pm kunilalamikia. Kumbe hata huyo jamaa hana picha na wala hajawahi kuona picha yake.

Sometimes tunaamini fix za humu na kuzifanya facts.[ni kastori tu].
Kweli inawezekana inna masikini alijisemea tu lakini hapana nilicheka akaniambia shunie kweli nakujua sitanii bamdogo usinijazie watu pm sina uzuri wowote mie na sura yangu ya baba angu mpenzi
 
Kweli inawezekana inna masikini alijisemea tu lakini hapana nilicheka akaniambia shunie kweli nakujua sitanii bamdogo usinijazie watu pm sina uzuri wowote mie na sura yangu ya baba angu mpenzi

Kuna picha nliambiwa ni yako lkn huyo mtu mwnyw simuamini maana naona fix nyingi
 
Kweli inawezekana inna masikini alijisemea tu lakini hapana nilicheka akaniambia shunie kweli nakujua sitanii bamdogo usinijazie watu pm sina uzuri wowote mie na sura yangu ya baba angu mpenzi
Teh
Nimeacha
 
Back
Top Bottom