Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,927
- 183,354
Waseme chochote tuko radhi tutatenda.laana yao inatutafuna, inabidi tukae kikao cha kuwaomba msamaha
Waseme chochote tuko radhi tutatenda.laana yao inatutafuna, inabidi tukae kikao cha kuwaomba msamaha
Ni baraka tena kubwa mnoooo.Waone hata hamna haya nyinyi wanawake sisi kuwakopa ni dhambi ila nyie kutupakua salary ni baraka eti eeeeh
Haya.Bado hoja haijakamilika
Wewe unaonekana ni mpigaji mzuri sana wa vibundaNi baraka tena kubwa mnoooo.
Hayo yoooote na hela mtukope!!!!!Mmh!!
Mwanamke kazi yake kupika,kuzaa,kuosha vyombo,kumwogesha mwanaume, mwanamke mwanamke gani naye visitu na yeye
Uza na ng'ombe bwana ili upate cha kunitumia.Wacha nimalizie kuuza vimbuzi vyangu nione kinachobaki kwanza
Mahenga mengi yaliyobakia humu ndio wale wale tu. Ila wapo wachache wanaostahili kuendelea kuwepo aisee na Mungu awaweke sana.mtu mzima ndio, sometimes tunawasingizia boys kumbe kuna mahenga mapumbavu pia
Hahahaahahah mwenyekiti wewelaana yao inatutafuna, inabidi tukae kikao cha kuwaomba msamaha
Kumbe huwa unafika mitaa hii...habari njema hioJana nilikua huko nakuja usijal
Mwanamke huwa hakopeshwi, anapewa. Hivyo mkopo huwa ni ombi tu la indirect.Si walinikopa sasa kwa nini nisiwadai?
Aseeh, ila naskia u mzuri hatari[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ilikua haijasambaa sana alimtumia sakayo sema kuna siku inna kaniambia shunie me nakujua bana nilikua nabishana na mtu namwambia me mbaya inna akanijibu hivyo nikamwambia hunijui akaniambia nakujua mm wala sio mbaya kama unavyomwambia huyo kaka nikawaza tu usikute na inna zilimfikia
Na ole wake mwanaume anaeeongea kumzidi mwanamkeole wake mwanaume yule anaejilinganisha na mwanamke
Namchokoza maana kaninyima tedy bear. Nyani Ngabu ukuje hapa.ha ha ha we bana NN hawezi kuwa mzee wa mbuzi
Naunga mkono hoja na ukiona unaambiwa mkopeshe juwa janaume ni bahili halitoi hela mpaka kwa fimboMwanamke huwa hakopeshwi, anapewa. Hivyo mkopo huwa ni ombi tu la indirect.
Why not!!Wewe unaonekana ni mpigaji mzuri sana wa vibunda
Yaani nyie
Mi sijawah atukomeeeeKama mzee wa mbuzi ye huwa anasema kila mwanamke humu Kamtongoza, kila mwanamke kamuomba hela yani unaaweza dhani sijui anafananaje....kuhusu sura yake namuachia Mungu!!!
Tufunge na kuwaombea.Hayo yoooote na hela mtukope!!!!!
Ndo maana miss natafuta amewaombea gharika...naunga mkono maombi
Hahaha RRONDO ni fireee
Nini tena mbona siwaelewi?Huyu jamaa ni moto
sawa nitumie namba yako ya simu.Laki tu