Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,659
- 23,872
.
Jeshi lihusike Sasa 😂😂😂Kwa kweli inabidi elimu ya usafi itolewe zaidi, ila wenye matatizo hayo ya kiafya ni wachache, wengi wao ni uchafu wa mwili na nguo, kwa Dsm hii mtu anavaa shati siku mbili au tatu kweli jamaniiii,
Nakwambia wakabwe waoshwe makwapa wasuguliwe na limao
Niache😊😊😊😊 Kuna watu wanavaa boxer mda mrefu kias kwamba akiivua inabaki imesimama vile vile kama imevaliwa.
Boxer kavuuu. Ngumu balaa.
Nilizani nimesikia Kila kitu 😁😁😁😊😊😊😊 Kuna watu wanavaa boxer mda mrefu kias kwamba akiivua inabaki imesimama vile vile kama imevaliwa.
Boxer kavuuu. Ngumu balaa.
Kula lazima kuoga ni hiyariii 😁😁
Nani kakwambia harufu ya kibeberu ni stahamilivu!? mnatupa tabu bhana kunuka sio sifa, na hao wanawake wanaonuka kisamaki maradhi mnawapa nyie msiofua boxer zenu wala mashuka, usmart uendane na usafiMwanaume mara moja moja unatakiwa usmell kibeberu beberu hiyo inaleta mahanjam na kupandisha midadi kwa maduuu!
Kikawaida harufu ya kibeberu ni himilivu kuliko kisamaki kwa mwanamke.
Halafu mbaya zaidi kisamaki huwa hakitoki hata uoge vipi.
Kiukweli demu hata ajikwatuwe vp na haijalishi kafungasha makebo tani ngapi, ukikutana nae kwenye mechi stimu zote hukata na huwezi kutamani hata kuvua boxer bora mechi iahirishwe.
Dr. Mariposa safisheni mbunye zenu zimejaa cramidia coz mnaendekeza kufuga kucha matokeo yake mnatumia tishu kupapasa hiyo misamba.
Thank you King Kong,Usafi ni muhimu sana...kwa zama hizi zipo Deodorant hadi za eflu 2 mia 5 ,ndoo ya maji Ths 100 tena kuna vyoo vya kulipia kuoga jero.
Kunuka kwapa ni uchavu uliopitiliza.
Wanawake wanaongoza kwa usafi ukiachilia changamoto ndogo ndogo za kwa Bi Nyau.
Haatare sanaaNyie wanawake pia safisheni kei zenu zinanuka haswa
Just imagine DC wetu Niki wa 2 alishindwa kula papuchu kisa harafu mbaya kam ya samaki alioza.
Sio kweli, mwanaume hajaumbiwa anuke, upende mwili wako, wamatumbi hua wanasema self care, self love, sijajua maana yake lakini najua inaendana na usafiUsitupangie maisha yetu. Wewe deal na makwapa ya mume wako, inatosha. Mwanaume usiponuka kwapa unakuwa huna tofauti yoyote ile na mwanamke.
Omg! ukimaliza kuongea nae ilikua lazima umeze dawa za maumivu na vitamins, pole sana dear umepitia mazitoHamjakutana na Meneja wangu nikiwa Lindi mwaka juzi 2024. Jamaa ananuka kwapa kama sijui ni kitu kimechacha , akiongea kinywani harufu kama ya chooni vile, plus akiongea mate yanatangulia maneno, confidence mbwa, ubishi ndo usiseme , umalaya sasa 🙌. Nilikuwa naongea nae kwakuwa alikuwa meneja wangu ila tofauti na hapo ingekuwa kazi sana kumsogelea mita 3.
Tetesi zinasema kwamba hiyo ni uchawi aliofanyiwa na mkewe kwasababu ya uzinzi.
Bonge moja la idea, tutafikisha malalamiko yetu uzuri hata humu wamoJeshi lihusike Sasa 😂😂😂
Oooonho😂Niache
Yatengenezwe mabafu ya lazima na JKT wafanye hiyo kazi ya kuwaogesha kwa lazima usiku na mchana 😜Bonge moja la idea, tutafikisha malalamiko yetu uzuri hata humu wamo
Kusema watu sio jambo zuri, nimejisikia vbaya.Oooonho😂
Mnataka muuwe watu? Kuna watu tunaogopa majiYatengenezwe mabafu ya lazima na JKT wafanye hiyo kazi ya kuwaogesha kwa lazima usiku na mchana 😜
watu wapewe ilimu ya afya ya uzazi na personal hygieneHaatare sanaa
Dah nimekumbuka kisa cha kondakta mmoja alikua hapendi kuoga, wenzie wakamkamata kwa nguvu na kummwagia maji yenye sabuni nyingi 😂😂😂Mnataka muuwe watu? Kuna watu tunaogopa maji
OMG!Jikaze bwana, unaisafisha kabla ya yote..🌚
View attachment 3631013
mimi naona na fire wahusishwe pia, wawapulizie yale maji hasa makwapani zoezi likisimamiwa na JKT😂😂Yatengenezwe mabafu ya lazima na JKT wafanye hiyo kazi ya kuwaogesha kwa lazima usiku na mchana 😜