Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Ninahisi kale kavita baridi ka mwaka 47 kanataka kujirudia tupige magoti tuombe "eee Mungu utuepusha na janga hili maana bila mwanamke mwanaume hana thamani duniani na bila mwanaume mwanamke hana thamani duniani tupendane wala tusigombane tupeane wala tusinyimane AMENI"

kanajirudia kwa kasi ya ajabu..........

Amen..............
 
Kwi kwi kwi kwi LOL!!!! B au H yote bomba kutegemea wahusika wanapenda nini Best. Mie niko poa kabisa namshukuru Mungu.



mzima best.....labda mwenzie anapenda H wakati yeye anataka B
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wiki ni siku saba, maswala ya kubadilisha mara 4 ni ujinga..
Boxer inabadilishwa kila siku, tena ikiwezekana hata kwa wiki moja zivaliwe zaidi ya saba, angalau 10..

Hee!? baadaye wanaume nao watashauriwa kuvaa ile kitu nanyonya liquid during da moon, sijui ile material naitwa sanitary pad, sijui??
 
Kwanini uelewe vingine bana??? mlio wengi mko hivyo

Unaposema wanaume wengi hawanyoi mavuzi ni kuwa umewa-inspect wengi ukaona hawanyoi. Swali: Uliyaonaje mavuzi kuwa wengi hawanyoi. How did it happen that uliona hawanyoi! ni hilo tu ndugu? This is a philosophical question!
 
Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!

Ndio maana nyie hamuachikagi hata apite kidudu mtu....Umenikumbusha mambo ya mama J..... Alinikoleza na hayo malezi nikatangaza ndoa faster sasa nalia kivulini hakuna ligi wala sijui bei za boxer, leso, vest wala nyembe. Wengine kelele za haki sawa zinawaponza wanakuwa mizigo kwa wazazi wao
 
Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!

Hii version ya hapa nimeipenda kidogo! Basi endelea kutafuna pesa zake, asa kama wamfanyia self hygiene kiasi hicho. Mmmmmh!
 
^^
Asanteni sana Moderator kwa kutumia tafsida kwenye kichwa cha mada hii..mnapofanya vema mnastahili pongezi.
^^
 
Last edited by a moderator:
Hii version ya hapa nimeipenda kidogo! Basi endelea kutafuna pesa zake, asa kama wamfanyia self hygiene kiasi hicho. Mmmmmh!

Mmmmm kwani wewe hufanyiwagi best? Ndiyo maana mi nakutaga hela kwenye Kabati na mezani. Sasa nashangaa wanaume wengine wanaolalamika kuwahudumia wapenzi wao....
 
Jitahidini kukwangua nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani.

Pia bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki.

Ni ombi tu

Ungeweka wazi kwa wiki unakutana na wangapi na kwa wastani ni wangapi ama asilimia ngapi hawafyeki na kubadilisha boxer zao
 
Back
Top Bottom