Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Wanaume na nywele za sehemu ya siri

NImefanya upekuzi mkuu wanaume wengi ni wavivu wa kunyoa kunako sehemu za sirini, utamkuta nje kaulamba ndani km katani vile
Mie nadhani yana sababu kuwepo pale hivyo hata yasipoondolewa nadhani hakuna shida kikubwa ni usafi ikiwezekana unayachana na kupaka mafuta kwa mbaliiiii
 
NImefanya upekuzi mkuu wanaume wengi ni wavivu wa kunyoa kunako sehemu za sirini, utamkuta nje kaulamba ndani km katani vile

Duuuuuu!!!!!!!!!!!ufukunyuku wako utakuwa umewafanyia wanaume wengi, kuuliza cyo ujinga unafanya shughuli gani?
 
umewakagua wangapi?? Halaf Heaven on earth kanipa umbea, eti yule m K yukoaje? Hahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Ahaaaaa!! yaani leo kavamia wanaume. Ila nakubali kweli wanaume wanyoe na kufua boxers zao. Ila inatia kinyaa zaidi kwa mwanamke maana kwao ndio majanga hasipofua hizo pichu zao na kunyoa vikwapa. Mwanaume ameumbwa si mtu wa kutoa har..fu ila ukikuta mwanamke hajaosha hiyo pichu au kunyoa uko sirini inatapisha
Ombi laweza kukubaliwa au kukataliwa.............

ila bora umewaambia I hope watajirekebisha wanapoweza
 
Wewe ndiyo mwanamke katika wanawake HunterQ maana huyu mleta uzi huu yeye kila anayekumbana naye hajafua wala kunyia na hamsaidii kitu badala yake anaanika mambo aliyokutana nayo kwenye public. Mwanamke ameumbwa kuficha siri za mpenzi wake ikibidi mwenyewe kuzirekebisha bila kuanika juanai mambo aliyoona
Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!
 
Mkuu wiki ni siku saba, maswala ya kubadilisha mara 4 ni ujinga..
Boxer inabadilishwa kila siku, tena ikiwezekana hata kwa wiki moja zivaliwe zaidi ya saba, angalau 10..

kama we ni kulakulala sawa,si wachumia juani
 
ahaaaaa!! Yaani leo kavamia wanaume. Ila nakubali kweli wanaume wanyoe na kufua boxers zao. Ila inatia kinyaa zaidi kwa mwanamke maana kwao ndio majanga hasipofua hizo pichu zao na kunyoa vikwapa. Mwanaume ameumbwa si mtu wa kutoa har..fu ila ukikuta mwanamke hajaosha hiyo pichu au kunyoa uko sirini inatapisha

hayo ya wanawake ungeanzisha thread tofauti bana..........
 
kama we ni kulakulala sawa,si wachumia juani
Mkuu una hela ya kuja jamiiforums afu unajiita mchumia juani? Kuliko jamiiforums usafi wako ni muhimu sana, sasa ni bora usiingie jamii forums hata kama ni mwezi utunze hela za vocha au kama ni cafe unalipa ununue boxer, em acha mambo hayo bna, mbona visingizio vingi mazee mtatuabisha wanaume humu ndani.. boxer ikikushinda ya bei juu kwani ya buku mbili ipo unanigotiate, ikishindwa nunua tatu bac, ukivua unafua unabadilisha, swala ni kubadilisha boxer kila siku ndicho kinachoongelewa, sasa kama wewe unaona dili unamaliza kuoga then unatupia ile ile ati hela, mkuu kichwani una maji kama vocha ni bora kuliko usafi wa mwili
 
wachumia juani ndo wakina nani.........................
Ahsante kwa kunisaidia kuuliza maana watu wanavotetea kuvaa boxer ileile baada ya kuoga duh, aibu hii kwa sisi wanaume humu ndani hadi jamiiforums great thinkers wachafu, its pretty dangerous.. ndio maana nasikia kaharufu kanatoka kwenye display hapa, yaweza kua baadhi ya raia kwenye hii post maana nikiifunga kaharufu kanakata
 
mavuzi mafupi yaliyonyolewa humchoma mwanamke mbapokuwa ulingoni......pia marefu huongeza hisia kwa mwanamke sababu wengi hupenda kuyachezea

weeeee vuzi lina raha yake jaman hasa lile la kipilipil au vuzi mterezo jaman raha yake ukikutana nalo haina mfano.....
 
Nimecheka sana kwa hili! Ila, inategemea huyo mtu ana shuguli gani, na mlalamikaji pia! Sasa kama mwanamme anaishi Tandika, na wewe unaishi Sinza, unashangaa nini kwa haya yaliyokutokea? Huko mbagala, rangi tatu, kwa manyusi, kwa mkunadengu, kwa azizi, mtongani, ni kitu cha kawaida. Usituletee zako umejitakia mwenyewe!
 
faida ya kufuga machoki
1. yakiwasha unapata hamu ya kuoga
2. biazi ya wadada wanapenda kuyachezea
3. unakuwa huna vipele vipele
4. mwonekano mzuri pale mdhakari unaponyanyuka
5.yanaleta kajoto fulani hivi

bora kuyaacha tu maana ukinyoa yanaota tena, ila usiponyoa hayakui yanabaki costant
 
Mkuu una hela ya kuja jamiiforums afu unajiita mchumia juani? Kuliko jamiiforums usafi wako ni muhimu sana, sasa ni bora usiingie jamii forums hata kama ni mwezi utunze hela za vocha au kama ni cafe unalipa ununue boxer, em acha mambo hayo bna, mbona visingizio vingi mazee mtatuabisha wanaume humu ndani.. boxer ikikushinda ya bei juu kwani ya buku mbili ipo unanigotiate, ikishindwa nunua tatu bac, ukivua unafua unabadilisha, swala ni kubadilisha boxer kila siku ndicho kinachoongelewa, sasa kama wewe unaona dili unamaliza kuoga then unatupia ile ile ati hela, mkuu kichwani una maji kama vocha ni bora kuliko usafi wa mwili


Umeua!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jifunze kuyakwangua ili next time hii shughuli iwe part and parcel ya fore play yenu badala ya kulalama.



Jitahidini kukwangua mavuzi ya sirini na ya kwapani,,,,
bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki
Ni ombi tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom