Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Nimecheka sana kwa hili! Ila, inategemea huyo mtu ana shuguli gani, na mlalamikaji pia! Sasa kama mwanamme anaishi Tandika, na wewe unaishi Sinza, unashangaa nini kwa haya yaliyokutokea? Huko mbagala, rangi tatu, kwa manyusi, kwa mkunadengu, kwa azizi, mtongani, ni kitu cha kawaida. Usituletee zako umejitakia mwenyewe!

Mkuu niombi tu hili wanayoyafuga wawe wanapunguza kidogo
 
Jifunze kuyakwangua ili next time hii shughuli iwe part and parcel ya fore play yenu badala ya kulalama.



mzima best.....labda mwenzie anapenda H wakati yeye anataka B
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe ndiyo mwanamke katika wanawake HunterQ maana huyu mleta uzi huu yeye kila anayekumbana naye hajafua wala kunyia na hamsaidii kitu badala yake anaanika mambo aliyokutana nayo kwenye public. Mwanamke ameumbwa kuficha siri za mpenzi wake ikibidi mwenyewe kuzirekebisha bila kuanika juanai mambo aliyoona

Mkuu sijatoa siri ya mtu kwani sijataja jina la mtu hapa, vumilia tu na ukayapunguze
 
Jitahidini kukwangua mavuzi ya sirini na ya kwapani,,,,
bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki
Ni ombi tu
Umenikumbusha jirani yangu mmoja, ana bonge la kipara cha unga, kila siku yeye ni mtu wa vipensi vya jinzi na chanuo kubwa nyuma. Watu tukawa tukijiuliza hilo chanuo ni la nini? Hatukupata jibu, tukajua ni mambo tu ya wazamia meli (jamaa alishawahi kuzamia Enzi zilee za Ngapulila) <p> Basi bwana, si unajua Tz inavyosifika kwa maswala ya umbea doti nukta ujungulikaji!! Basi jamaa wakawa wanamfuatilia bila yeye ( mzee kipara) kujua. <p> Basi kilichokuja kuletwa mtaani, jamaa kumbe ana bonge la msitu, nywele zote zimehamia down stairs.... na kile chanua huwa anakitumia kuzichania nywele za huko sirini.
 
Jitahidini kukwangua mavuzi ya sirini na ya kwapani,,,,
bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki
Ni ombi tu

Umeshindwa kumwambia huyo mpenzi wako?Ukishindwa kumwambia,siku mnapanga akugegede wewe unaenda na boxer na gilette,mpige usopu sopu,baada ya mechi mvalishe boxer mpya na ile chafu tupa pamoja na ule mfuko mliotumia kwenye dustbin.Next time fanya hivyo hivyo tena,ikifika mara tatu habadiliki,mpeleke kwenye maombi!
 
Sema kwenye boxer...inabidi wanaume tupatizame kwa jicho la tatu..maana kuna wenzetu mpaka zikitupwa nzi wanazikimbia..au mbwa wanabeba wanajua ngozi ya mzoga..

Iv kumbe kn wanaume wasio smati sehem nyeti! Nimechelewa kujua
 
sio wanyoe yote, sema yawe mafupi

yaani ukikutana na mwanaume aliyenyoa yote hata hamu inaweza kukuisha
 
Ombi laweza kukubaliwa au kukataliwa.............

ila bora umewaambia I hope watajirekebisha wanapoweza

Ninahisi kale kavita baridi ka mwaka 47 kanataka kujirudia tupige magoti tuombe "eee Mungu utuepusha na janga hili maana bila mwanamke mwanaume hana thamani duniani na bila mwanaume mwanamke hana thamani duniani tupendane wala tusigombane tupeane wala tusinyimane AMENI"
 
Kuna kaukweli flani lakini teh teh teh kale kamashine kangu sijui kakowapi!
 
Umenikumbusha jirani yangu mmoja, ana bonge la kipara cha unga, kila siku yeye ni mtu wa vipensi vya jinzi na chanuo kubwa nyuma. Watu tukawa tukijiuliza hilo chanuo ni la nini? Hatukupata jibu, tukajua ni mambo tu ya wazamia meli (jamaa alishawahi kuzamia Enzi zilee za Ngapulila) <p> Basi bwana, si unajua Tz inavyosifika kwa maswala ya umbea doti nukta ujungulikaji!! Basi jamaa wakawa wanamfuatilia bila yeye ( mzee kipara) kujua. <p> Basi kilichokuja kuletwa mtaani, jamaa kumbe ana bonge la msitu, nywele zote zimehamia down stairs.... na kile chanua huwa anakitumia kuzichania nywele za huko sirini.

hahaaaaaaaaaa bujibuji umenichekesha sana lol
 
Back
Top Bottom