Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Wanaume na nywele za sehemu ya siri

Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!
 
Jamani tumieni lugha nzuri maana tunaogopa hata kusoma na kuchangia.
 
Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!

Hongera kwa ukalimu unao mfanyia mumeo/mtu wako. Usafi wa aina hii ukifanyika kwa bafu mnaweza jikuta mnapiga cha chapchap hukohuko maana mayai yakiguswa tu, kwa wengine huku mikuki husimama
 
Wewe inaelekea unatok sana na wauza mkaa na makondakta ndo tabia zao izo njoo uku mbez beach na boko kam sio bahar beach uone jins watu wanavyotunza hekalu..

Hahahahaha, umetishaaaaaaa
 
Kwahiyo hapa JF una honey na mume? Basi niweke na mimi niwe my love!.

@Figanigga unaibiwa mia.

we Matola huyo ulo mcc nashukuru umelikosea jina........

leo home kusingekalika......halafu pole niliambiwa waumwa baada yakula supu ya pweza....
 
Last edited by a moderator:
Ishu nzima siyo kubadili unaweza kuwa unaivaa kila siku sioni tatizo.Je kama huifua kila usiku (kauka nikuvae) asbh imakauka unaitimba mi sioni baya hapo bana.Sasa kama izo unazobadili kila siku hazifuliwi ndo la maana au...mpango mzima usafi bwana acheni hizo.

Bila kujali chochote, mwanaume kuwa na boxer moja ni uzembe.
 
Hongera kwa ukalimu unao mfanyia mumeo/mtu wako. Usafi wa aina hii ukifanyika kwa bafu mnaweza jikuta mnapiga cha chapchap hukohuko maana mayai yakiguswa tu, kwa wengine huku mikuki husimama

Ha ha haaa ahsante Mkuu. Huu ni wajibu wangu kama mwanamke kwa mpenzi wangu, na huwa naufanya bila shuruti...
 
Back
Top Bottom