Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,421
- 7,877
Ni pm nikuambie kitu!Ni hivi tuacheni matani umri unaenda tupunguzeni starehe ndio hivyo haya
Ni pm nikuambie kitu!Ni hivi tuacheni matani umri unaenda tupunguzeni starehe ndio hivyo haya
Hahaaaa, wankumbura kwashaee!!Mnakera vishoia nyie nyambaf
Hata mm najua unataniaHivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Mi natania tu msizani kweli

Vivaaupepo ushageuka ....
zama za wanawake kuringa zimepita saizi ni ku-suffer tu, mtu akijikuta mzuri minato mingi ni kutupa tu na kuangalia kwingine maisha yenyewe haya.
Ila wanaune haturingi, sema kujikubali..
Viva kwa wanaume wote mnaojikubali.

Hongera mwayaMbona mm siringi dear
Nani kakuambia ucomment kama haukuhusuKumbe ni hivyo!
Huu uzi haunihusu Akchware
Hujui uchache wa bidhaa sokoni, demand inaongezeka!!Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Tafadhali! Huwa sipangiwi cha kufanya.Nani kakuambia ucomment kama haukuhusu
Hata hili nalo ni tego... wacha ndege mjanja anaswe hahahanjoo kwangu ule mema ya nchi achana na hao wanaume uchwara wasiojua kumpenda mtoto mzuri kama wewe nipe budget yako ya outing nikuandalie mambo mazuri
Umeona eh tego hiloHata hili nalo ni tego... wacha ndege mjanja anaswe hahaha
Basi umepata wakukupangia basi utafanyaje? 😡 😡Tafadhali! Huwa sipangiwi cha kufanya.






mnalo walahi hamnitishi labda enzi za bikrawaone???Yaani eti waliotayari kuolewa ni wachache nani amewasababisha wakate tamaa kama sio nyie waone
kunywa maji hata kidogoWai wanaume sio wakunipa presha nyie nikazi ndogo tukwangu mtu akiitaji maneno au njia yakuwalipizia hawa niambieni do not hesitate to pm me to wazingue haya makitu yanayoumiza watoto wawatu kama ninao wafahamu hao wehu wengine
Kwani wewe hupendi mema ya nchi katoto?Umeona eh tego hilo