Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Hakuna mwanamme ambaye hataki kuoa Sema waliotiyari kuolewa ni wachache ndoo mana tunaonekana twaringa
 
Yaani eti waliotayari kuolewa ni wachache nani amewasababisha wakate tamaa kama sio nyie waone
 
Yaani eti waliotayari kuolewa ni wachache nani amewasababisha wakate tamaa kama sio nyie waone
 
Mwanaume anaanzaje kuringa
Wanaringa kisa eti wachache, kuna mbaba alikuwa na mke mzuri tu lakini si kuchepuka huko dharau vipigo mama wawatu kisa nini kasogea pembeni sahizi yupo juu, sasa baba yangu kaenda kuokota kibinti kidogo kama mwanawe kanavyo mfanyia sasa kawa bwege kabisa na uafande wake, waswahili walisema mkataa pema pabaya panamwita
 
Wanaringa kisa eti wachache, kuna mbaba alikuwa na mke mzuri tu lakini si kuchepuka huko dharau vipigo mama wawatu kisa nini kasogea pembeni sahizi yupo juu, sasa baba yangu kaenda kuokota kibinti kidogo kama mwanawe kanavyo mfanyia sasa kawa bwege kabisa na uafande wake, waswahili walisema mkataa pema pabaya panamwita
Aisee amevuka mkojo akakanyaga upande wa pili
 
Tabia yako mtoto wa kike kutongoza wanaume kuna siku itakugharimu,believe me!!
Hilo janga yaani mwanaume akienda tu kupata huduma basi kila siku simu anataka kutolewa out sasa mtu anaye ampendaye wakitoka ni bia chips akitoka hapo anablock na no.ya simu yake nikusonya tu
 
Ni kwanini idadi yenu duniani kote inazidi kuongezeka wakati huo huo sisi wanaume unashuka?


Note: pamoja na kushuka humo humo kuna mahanisi, mashoga n.k
 
Aisee amevuka mkojo akakanyaga upande wa pili
Ndiyo maana yake na kumpata haiwezekani naye ana mwingine unaye mfahamu ukimuona mpaka imani sijui kama kuna wanaojifunza toka kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom