Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

na mkiendelea kutuita playboy mtaolewa na mareferee
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.

Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.

Ila mbona mimi siringi pm yangu wazi.

Msukume aje kama anaona aibu.

Daby na mchumba umeoa?
Mi natania tu msizani kweli
 
Wanaume ni watu wazima ila wanatangaza wakipewa bado wanasepa
 
upepo ushageuka ....
zama za wanawake kuringa zimepita saizi ni ku-suffer tu, mtu akijikuta mzuri minato mingi ni kutupa tu na kuangalia kwingine maisha yenyewe haya.

Ila wanaune haturingi, sema kujikubali..
Viva kwa wanaume wote mnaojikubali.
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Ulikutana nao ni wavulana. Real gentlemen tunafanya maamuz sahihi na hatulii hovyo kama ulivyosema
 
Kama wanaume wanakuringia tafuta katoto kazuri kenzio msagane kwani shingapi? Huko kuringa vepee, akati msagano ndo habari yao town.
 
tukibaki wenyewe nyie mtakuwa mmepotea au...tutakuwa wote tu.....tupo paoja sana na tutaijenga na kuijaza dunia. sema umesomeka ile chagua saaaaaana inakuwa sometimes sio...sema shida hatujui tunataka flavour ipi mpaka tuonje onje
 
Wanaume wamenikeraa mm ndo maana kila siku nawachamba wanajifanya wenyewe ndo vibonde hapa duniani mxeeew kabisa
Demi mbona roho mbaya kwani wawili watatu kukuudhi ndo wote umetuona wabaya?
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Siyo kwamba wanaume ni wachache sema nyinyi wanawake siku zinavyo zidi kwenda mnazidi kuwa Malaya leo mwanamke mmoja anaitaji wanaume zaidi ya kumi Kwa mwaka ili kutosheleza papazemu sijui zinawashwa sana na kusababisha sisi wanaume tuzidi kuwa wachache kutosheleza uchu wenu wa ngono .ili wanaume wawatosheni ilibidi tuwe wengi x10 ya idadi yenu maana mnatombeeesha hatari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom