Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

tukibaki wenyewe nyinyi mtabaki na nani??
 
77a2fbdac29cac960fe400cdf5561532.jpg
 
Uchumi unasema BIDHÀA inapozid kuwa adimu THAMAN yake inazid Mara zaid na zaid.


[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwanza naona sura yako iko upande. mwanaume uringe siyo unatupiwa voko moja tu "ndio" uko hapo dada utaji jj
 
Yani kama Mimi naringa balaa.Wadada wengi sn wananililia et niwaoe.Sina tatizo, swali ni je,wao wana sifa hizo za kuolewa?
Ndo maana tunawaangalia tu,kwani tabia na mwenendo sio
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Mimi siringi, ukitaka mgegedo nistue nina full tank, tutatembea umbali wowote unaotaka.
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Mkuu kumbe majibu mubashara tayari mmnayo...mnachelea nini kwenda kwenye hizo nchi nyingine..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom