Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
 
Hivi wanaume mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu .
Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia .
Acheni kuringa oh dunia wapo watu wengii.
Sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wavulana wapo.
Acheni kutumia moyo, tumieni akili. Moyo uachie jukumu Lake la kusukuma damu
 
njoo kwangu ule mema ya nchi achana na hao wanaume uchwara wasiojua kumpenda mtoto mzuri kama wewe nipe budget yako ya outing nikuandalie mambo mazuri
 
Itafika wakati tutachambana wote sasa nyie kule na vanga lenu la madela sisi na mapensi yetu hadi tuletewe chakula cha jioni.
Hahahahhahahhhhhh alafu Wewe wakojacko umeamua kunikaushia poah tu wacha niende tandika nikanunue kijora niwachambe mpaka nipate ban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom