Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Ndio ulikuwa unatishwa? Kwahiyo sasa ni utelezi tuu!?mnalo walahi hamnitishi labda enzi za bikra
Ndio ulikuwa unatishwa? Kwahiyo sasa ni utelezi tuu!?mnalo walahi hamnitishi labda enzi za bikra
Jamaa alikukopa nini mkuu..Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Kumbe nimepata msaidizi!Basi umepata wakukupangia basi utafanyaje? 😡 😡
inabidi wanawake tuwa andalie application form, ya ku apply ndoa, unaambatanisha picha zako kazaa, cv yako yenye maelezo yanayo jitosheleza! you are so many, we need the best women! nyie endeleeni kucheza midundiko, na kuvaa uchi barabarani, mzeekee kwenu!Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Pole, Wamekukera ndio lakini mwisho wa siku huwezi ishi bila mwanaume. (baba, kaka, mtoto, mjomba, babu,etc)Wanaume wamenikeraa mm ndo maana kila siku nawachamba wanajifanya wenyewe ndo vibonde hapa duniani mxeeew kabisa
Kwamba wamemfanya vibaya?Watu wabaya sana..
Bezikale uko saghwa.....Jamaa alikukopa nini mkuu..
Naturally, wanawake mpo wengi kuliko sisi so wanaume at some point watakuwa very picky.
Huwezi pambana na nature, mwanamke yeyote anaweza kosa mume wa kumuoa lakini hakuna mwanaume atakosa mke wa kuoa. That's the way it is.


Infwakti nimekuelewa vizuri,inabidi wanawake tuwa andalie application form, ya ku apply ndoa, unaambatanisha picha zako kazaa, cv yako yenye maelezo yanayo jitosheleza! you are so many, we need the best women! nyie endeleeni kucheza midundiko, na kuvaa uchi barabarani, mzeekee kwenu!
MwenyeweeeBezikale uko saghwa.....
Aisee umenifurahisha..... Eti mwenyeweee, kwani tusi hiloMwenyeweee