Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Mimi nimeacha hapa hapa kwa jina lako.Oooh
Shunie yuko kwenye story kule... Ngoja atakuja!! Punguzeni tu kuringa mkule mema ya nchi
Haya nionyeshe mema ya nchi nianze kuyafaidi
Mimi nimeacha hapa hapa kwa jina lako.Oooh
Shunie yuko kwenye story kule... Ngoja atakuja!! Punguzeni tu kuringa mkule mema ya nchi
dah mbona kashfa hvyo wakati mi npo seriousNi kweli naakikuchoka anakutema
Kweliii waambie hao vikojozi
HahahaMimi nimeacha hapa hapa kwa jina lako.
Haya nionyeshe mema ya nchi nianze kuyafaidi
Nitampwerepeta huyu.Hahaha
Nimejikuta nacheka tuu mie... Hebu anza na mleta mada bwana!!
Ha ha ha ha ha.... Husubiri Valentine?Eeh aseeh kabla ya valentine nicheze mechi.
Unazichanga vibaya, lakini pia ukimshirikisha Mungu atakusaidia kupata mwanaume sahihi na si mvulana.Wanaume wamenikeraa mm ndo maana kila siku nawachamba wanajifanya wenyewe ndo vibonde hapa duniani mxeeew kabisa
Sasa mzigua90 utamuweza?!Nitampwerepeta huyu.
Wazee wa “hit and run” Mungu anawaona mjue[emoji3]Wanaume wamenikeraa mm ndo maana kila siku nawachamba wanajifanya wenyewe ndo vibonde hapa duniani mxeeew kabisa
Mimi bado.... Labda umsaidie kuniambia!!!Wamesikia mama
Mtu na mdogo wake mna siri gani tena?Tusimwage Mchele kwenye kuku wengiii ila hakuna shidaaa mm mdogo wako hujui tu
We sidhani kama unaringa babu ake shunie... Hiyo ID tuu inaonyesha!!!Mimi bado.... Labda umsaidie kuniambia!!!
Hivi wanaume pia huwa wanaringa?Ni wapi hujaelewa, yaani muache KURINGA!!! Bado tuu hujaelewa??
CHIEF VIPI???Hivi wanaume mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu .
Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia .
Acheni kuringa oh dunia wapo watu wengii.
Sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wavulana wapo.