Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wewe mwenyewe ni mwanamke usojiamin na hujui nn unataka !!!.

Uyo aliyerudi analia ni mzembe .

Amin amin nawambia Wanawake niwengi sana...ivyo we kama mwanamke Punguza mapozi.
 
Hivi wanaume mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu .
Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia .
Acheni kuringa oh dunia wapo watu wengii.
Sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wavulana wapo.
Hata wewe katoto kazuri wakuringia?! Pole sana, wasamehe bure.
 
Ukijaliwa ndio kwanza unatangaza unamtangazia nani?
Mtu anahakikisha upo sawa unamjibu vibaya.
Yule ambaye unakutreat fresh ndio unamwona hafai .dah

Ni Mbaya Kweli kumfanyia hivyo Mpenzi anayekupenda kwa dhati ila madada Wengi wanapenda sana Kushoboka kwa Wavaa Skini Jeans na Wpaka Poda,Walamba Lips,Wavaa Supra/Wanaukunywa maji na kuwaaacha walio serious.
 
Naona washakula vyao wamekukimbia umekuja kumalizia hasira zako Jf
Halafu kuna njemba zinajuwa kutafuna aisee! Yaani ni kata funuwa, geuza geuza, mpaka mtoto wa watu anadata, akiachwa njemba ikisepa lazima demu afyatuke tu..
 
Ni Mbaya Kweli kumfanyia hivyo Mpenzi anayekupenda kwa dhati ila madada Wengi wanapenda sana Kushoboka kwa Wavaa Skini Jeans na Wpaka Poda,Walamba Lips,Wavaa Supra/Wanaukunywa maji na kuwaaacha walio serious.
True kweli sio uongo wakiwapotezea oh nimetemwa oh basi mapenzi basi ni kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom