Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Deby mbona umesepa jamani na niweekend au umenyimwa tamuu vyuma vimekaza tunaogopa kuwapanga mistari. Ati.
 
Sijatemwa wala ila nasoma uzi mbalimbali mimi zimenichosha mnabagubagua sio fresh mnaringa kama kuna lolote zaidi ya vibamia na mkiwa na kubwa mnatuumiza au hamna matunzo mnakera tu na ukiona wachaguzi wakiivyo hawana hela nikisomi tu wanacho wanajifanya wanajua wananunuliwa bia tu wee waache hata kama wanayo ni wazinguaji tu hawana lolote hawajui mema wala mabaya wapo tu
nina hakika limekukuta, ila uwe unachekecha kujua chanzo, unafikiri kisa kuwa mwanaume basi kila jambo ulete za kuleta uangaliwe tu, wengie hawana uvumilivu kihiiivyo unaona sasa
 
nina hakika limekukuta, ila uwe unachekecha kujua chanzo, unafikiri kisa kuwa mwanaume basi kila jambo ulete za kuleta uangaliwe tu, wengie hawana uvumilivu kihiiivyo unaona sasa
Kiukweli sio hivyo soma mke nitakayeoa ,simtaki nataka kumuacha naananidekeza na zingine wanaboa kama wao ni malaika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom