Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Sijatemwa wala ila nasoma uzi mbalimbali mimi zimenichosha mnabagubagua sio fresh mnaringa kama kuna lolote zaidi ya vibamia na mkiwa na kubwa mnatuumiza au hamna matunzo mnakera tu na ukiona wachaguzi wakiivyo hawana hela nikisomi tu wanacho wanajifanya wanajua wananunuliwa bia tu wee waache hata kama wanayo ni wazinguaji tu hawana lolote hawajui mema wala mabaya wapo tu
 
Sijatemwa wala ila nasoma uzi mbalimbali mimi zimenichosha mnabagubagua sio fresh mnaringa kama kuna lolote zaidi ya vibamia na mkiwa na kubwa mnatuumiza au hamna matunzo mnakera tu na ukiona wachaguzi wakiivyo hawana hela nikisomi tu wanacho wanajifanya wanajua wananunuliwa bia tu wee waache hata kama wanayo ni wazinguaji tu hawana lolote hawajui mema wala mabaya wapo tu
Kwani yamekutokea yapi? Funguka tukusaidie kimawazo lakini
 
Kuhusu kukupa unachohitaji nikwamba anaebwana mwenye pesa anamuhonga, kwahiyo unakula jasho la mwanaume mwenzio,
NB. Wanaume wengi wanaoa wanawake ambao hawajatarajia.
Ni kweli naakikuchoka anakutema
njoo kwangu ule mema ya nchi achana na hao wanaume uchwara wasiojua kumpenda mtoto mzuri kama wewe nipe budget yako ya outing nikuandalie mambo mazuri
Kweliii waambie hao vikojozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom