Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,213
- 4,192
Tena balaa mno nataka nikusindikize kupigwa bhani kwani we hupendiNaona unawashwa washwa na id Ya Demiss
Tena balaa mno nataka nikusindikize kupigwa bhani kwani we hupendiNaona unawashwa washwa na id Ya Demiss
Nimemiss ban naomba uwatumie mods ombi la mm kupigwaa banTena balaa mno nataka nikusindikize kupigwa bhani kwani we hupendi
Ukijamba kwa hasira matokeo yake ni kujinyea tuuh.Wanaume wamenikeraa mm ndo maana kila siku nawachamba wanajifanya wenyewe ndo vibonde hapa duniani mxeeew kabisa
Wewe nitukane tu mpaka nidindusheeeeeeNimemiss ban naomba uwatumie mods ombi la mm kupigwaa ban
KUWA NA MAHUSIANO NJE YA NDOA KWA MWANAMKE SIYO KURINGA...MSALIMIE Engineer wako. Mahari analeta lini...baba yako kafurahi sana wewe kuwa na injinia...Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Haya niombee nimpate mwanaume sahihiUnakutana na wahuni afununasema umekutana na wanaume?
Bado hujakutana na Mwanaume wewe binti
Haya njoo mumeo nika hapa..!Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Nacikiri hujamuelewa General MangiHaya niombee nimpate mwanaume sahihi
Duu jamani sasa baba afanane na nani wakati ni watoto wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No way, unasura kama ya baba yako, eti nikuoe kisa mke mwema. Nani anataka kuharibiwa watoto?
Hapo mie ndiyo huchoka utasikia mke tabia je! Wanawake wazuri wote tabia zao si nzuri? Au kwasabu yeye kaopoa huyo anaanza kusema wenzie ili nao waangukie hapo mimi hilo nalikataa wapo ke wazuri na tabia zao nzuri piaWewe alie kuambia wanawake wazuri hakuna mwenye tabia njema nani?
Hapana mie nalikataa kabisa tusiaminishe hivyo nimtabia ni tabia kama tabia nyingineAsilimia kubwa wao ni zero brain
Hahaaa haaaaUkijamba kwa hasira matokeo yake ni kujinyea tuuh.
Mimi naona hiyo kauli wanapenda kuitumia wale wenye sura ngumu ili kupata soko. Asikuambie mtu urembo na tabia nimuhimu sana kwa mwanamke.Hapo mie ndiyo huchoka utasikia mke tabia je! Wanawake wazuri wote tabia zao si nzuri? Au kwasabu yeye kaopoa huyo anaanza kusema wenzie ili nao waangukie hapo mimi hilo nalikataa wapo ke wazuri na tabia zao nzuri pia
Mie nakusapot wapo wenye vyote sura au muonekano mzuri na tabia nzuri vile vile mzazi wangu akanilee vizuri kisha mtu aseme ohoo m wenye sura za hivi tabia zao sijui zipoje hapana ni malezi tu mkuu kama bado tafuta tu anayekuvutia hata tabia nzuri atakuwa nazo nzuriMimi naona hiyo kauli wanapenda kuitumia wale wenye sura ngumu ili kupata soko. Asikuambie mtu urembo na tabia nimuhimu sana kwa mwanamke.
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?
Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.
Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
Nina vigezo vyangu na kamwe siwezi kivipuuzia kwa kauli ya mwanamke tabiaMie nakusapot wapo wenye vyote sura au muonekano mzuri na tabia nzuri vile vile mzazi wangu akanilee vizuri kisha mtu aseme ohoo m wenye sura za hivi tabia zao sijui zipoje hapana ni malezi tu mkuu kama bado tafuta tu anayekuvutia hata tabia nzuri atakuwa nazo nzuri
Km ww unaendana na hiyo I'd yako, badlika ! Make nyie Wa I'd hiyo mnataka malaika (siyo mwanaume tuu make vgezo mnaweka km mia na zaid) ACHEN HZO ! LA CVYO MTAKUWA WA KUTUMIWA NA VIBOSILE WENU HAO (MAANA MM NA MASKN WENZANGU HAMTUTAKI) na KUTUPWA KM JOJO ILOISHA UTAMU km kawa Ha haHaya niombee nimpate mwanaume sahihi
Km ww unaendana na hiyo I'd yako, badlika ! Make nyie Wa I'd hiyo mnataka malaika (siyo mwanaume tuu make vgezo mnaweka km mia na zaid) ACHEN HZO ! LA CVYO MTAKUWA WA KUTUMIWA NA VIBOSILE WENU HAO (MAANA MM NA MASKN WENZANGU HAMTUTAKI) na KUTUPWA KM JOJO ILOISHA UTAMU km kawa Ha ha