katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
- Thread starter
- #221
Yani kama Mimi naringa balaa.Wadada wengi sn wananililia et niwaoe.Sina tatizo, swali ni je,wao wana sifa hizo za kuolewa?
Ndo maana tunawaangalia tu,kwani tabia na mwenendo sio
Wapi nisingetoa huu uzi ungejishaua saa ngapi?Yani kama Mimi naringa balaa.Wadada wengi sn wananililia et niwaoe.Sina tatizo, swali ni je,wao wana sifa hizo za kuolewa?
Ndo maana tunawaangalia tu,kwani tabia na mwenendo sio
Nyie ni wale wale hakuna lolote?