Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

Wanaume ndo tulivyo, tukionja tu bas tena tunatafuta kwengine tuhisi utofauti wa ladha
 
Hivi wanaume kwanini mnaringa siku hizi mara simtaki huyu mara naoa mke mrefu mara humtaki huyu unamtaka huyu?

Mwishowe mnaoa majini iko siku mtagegeda majini na malaya tu. Seriously mtabaki wenyewe.

Juzi hapa mtu aliringa leo kaja analia. Acheni kuringa, duniani wapo watu wengi sio Tanzania tu.
Kuna nchi nyingi sana wanaume wapo.
duuh ole ushaumizwa
 
"demand and supply" theory nadhan itakufaa zaid mtoa post...
 
Hiii! Sasa kama MTU huvutii upendwe tu jamani! Kuna character huwa tunapenda na kama huna hizo huwezi kupendwa wala kutakwa... Halafu mwanaume halis halii lii kama huyo wako. Huyo unaweza kumwendesha unavyotaka...
Ni kweli ila sura sio mke mwema nausiringe kama hujaoa
 
Unakutana na wahuni afununasema umekutana na wanaume?

Bado hujakutana na Mwanaume wewe binti
 
No way, unasura kama ya baba yako, eti nikuoe kisa mke mwema. Nani anataka kuharibiwa watoto?
Ukioa malaya usije humu kuomba ushauri
Kwa maana maisha ni hanaweza kukubadilikia mpaka ukashangaa.
Nani amekuforce sura mbaya uoe ni ukoo.
 
Tusimwage Mchele kwenye kuku wengiii ila hakuna shidaaa mm mdogo wako hujui tu
Huyu tunguli za Mzee tunguli kwishinia maana mwanzoni
Cc junior. Hehehehe karibu tena ulimwengu wa wachambanao naona kufichwa uliumic
Welcome back
 
Huyu tunguli za Mzee tunguli kwishinia maana mwanzoni
Cc junior. Hehehehe karibu tena ulimwengu wa wachambanao naona kufichwa uliumic
Welcome back
Naona unawashwa washwa na id Ya Demiss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom