YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,174
- 36,231
Wakuu za sahizi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu mnaenda kupigwa huko na vitu vizito watu mpaka mnaotana aseee 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuwa serious, kabisa, Mngeona hizo sura alafu useme urudi kwenye avatar mngekimbiana humu Personally Nimestaafu na ku abolish rasmi kuzama zama pm hovyo Sa hivi sizami, tena Ukitaka kuwa na dem humu ni bora uangalie personality na sio avatar, Narudi tena MTAENDA KUPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI Hizi avatar humu 1% or less ndo zenye uhalisia other than that hamna kazi
Mkuuu Maxence Melo nashukuru sana kwa kufanya huu mtandao kuwa huru, umenifungua macho yangu kwenye mengi sana
Till next time 😎😎😎😎😎
KAA CHONJO
Nimekaa 👉👉👉👉 na wanangu sana
Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu mnaenda kupigwa huko na vitu vizito watu mpaka mnaotana aseee 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuwa serious, kabisa, Mngeona hizo sura alafu useme urudi kwenye avatar mngekimbiana humu Personally Nimestaafu na ku abolish rasmi kuzama zama pm hovyo Sa hivi sizami, tena Ukitaka kuwa na dem humu ni bora uangalie personality na sio avatar, Narudi tena MTAENDA KUPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI Hizi avatar humu 1% or less ndo zenye uhalisia other than that hamna kazi
Mkuuu Maxence Melo nashukuru sana kwa kufanya huu mtandao kuwa huru, umenifungua macho yangu kwenye mengi sana
Till next time 😎😎😎😎😎
KAA CHONJO
Nimekaa 👉👉👉👉 na wanangu sana