Wanaume mnaifahamu mbinu hii?

Wanaume mnaifahamu mbinu hii?

Huwa inatokea sana hasa kwa wanaume unapomtamani sana mwanamke na sometimes unaogopa kumwambia labda kwa kuhofia kuwa hauna hadhi au yeye ni matawi ya juu na wewe ni ya chini au sometimes kwa kumuonea aibu tuu huwa unaota unafanya naye mapenzi, mara unapostuka unagundua kuwa ni ndoto tuu na ungetamani iwe kweli lakini hubaki ni ndoto tuu.

Mbinu ifuatayo inaweza kukusaidia.

Mara tuu unapostuka kutoka katika ndoto kama hiyo, haraka sana geuza shuka uliyoitandika kitandani kwako na ile uliyojifunika pia kisha endelea na usingiz wako.
Yani, shuka uliyoitandika itoe ule upande ulio juu uwe chini and vice versa, na ile shuka uliyojifunika vivyo hivyo.

Unajua nini kitatokea?

Na yeye yule uliyemuota muda huo huo kama yupo usingizini ataota exactly the same ndoto kama uliyoota wewe, yani ataota unamgegeda.

Kesho yake ukisha amka mtafute na usipitishe siku mwombe gemu, hakatai. hata awe nani hachomoki.

NB: Mbinu hii imefanyiwa utafiti na imekuwa proved.
Kumbuka inafanya kazi kama na yeye mhusika kwa muda huo atakuwa amelala hivyo inashauriwa ifanyike wakati wa usiku.



woman-dreaming.jpeg

poa mkuu na kama utakuwa umelala na mkeo atakuruhusu ubadilishe hayo mashuka???,,
 
^^
Ha ha ngoja nijaribu Kuna mwanamke mmoja humu jamvini namuota kila siku,tatizo matawi ya benki..
Ntakuletea majibu
^^

Mkuu huyo wa benki asije kuwa yule ambae picha zake ziko mtandaoni haa haaa, itakula kwako.
 
uongo ulotukuka ndo huo xaxa hakuna connection wizi mtupuuuuuu
 
Mi sijawah kuota namgonga mwanamke hata kama nampenda. Ndoto zangu zile naingiza tu hapo hapo nakojoa at the moment nashtuka hapo hapo nakujikuta nimelowana. Kuhusu twaswira ya dem inakujaga yeyote wengine hata siwajui.
 
Mi nakumbuka tuliambiwa ukimuota demu, geuka kichwa kiende kule miguu ilipokuwa na miguu iwe sehemu ya kichwa, kifuatacho ni kama jamaa alivyoeleza. Sijawahi kuiapply hii though.

Sema hii formula inakinzana na nyingine inayosema kama demu unampenda halafu ukaota unamgonga ujue huyo demu ndo basi hutakaa umpate, kwa hiyo mi najitahidi kweli nisimuote demu nayemkubali; hii ninaikubali asilimia kama 79%.

Mkuu tupe mbinu ya ku-control ndoto! Ndoto mara nyingi hutokea bila wewe kuamua. Ila hapo kwenye red umenichekesha.
 
mi napenda mwenye akili ya kujaza wallet sio wallet peke yake km za mkopo je.! zikiisha tunatumbuliana mijicho ..lol.!

^^
Da! Nimekukosa,, maana ningekuwa na akili..ningekuwa tajiri.
Ama kweli asie bahati habahatiki
^^
 
Back
Top Bottom