watu8, futuhi ni kipindi cha komedi kinarushwa Startv Alhamisi saa 3.30 usiku, kuna bwana mmoja huwa analeta matokeo ya research alizofanya.
Mfano. Kati ya mwanamke na mwanaume nani ana hekima. Conclusion yake ni kwamba, Mwanamke.
Kwani matokeo yalikuwa, Je ulishawahi ona kichaa mwanaume kampa mimba mwanamke mwenye akili timam, lakini mwanaume mwenye akili timam anampa mimba mwanamke kichaa, Baba mwenye miaka 60 anaitwa baby na kasichana ka miaka 18 hadi anaamua kukanunulia gari, ..................................
Sasa hii research result itakuwa imetoka huko pia nadhani.