Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Mkuu tupe mbinu ya ku-control ndoto! Ndoto mara nyingi hutokea bila wewe kuamua. Ila hapo kwenye red umenichekesha.
Ku-control kutomuota ni kutomfikiria fikiria mkiwa mnafanya lile tendo, kwa sababu unavyomfikiria sana ndivyo utakavyoota.
BTW ulishawahi kuota unafanya na mtu unayempenda sana? Mara zote inaishia pale ukitaka kuingiza, kuna vikwazo lazima vije unabaki unajilaumu baada ya kuamka.