Wanaume mnaifahamu mbinu hii?

Wanaume mnaifahamu mbinu hii?

1.Hii haina tofauti na habari niliyoisikia zamani kwamba ukitaka umpate mwanamke yeyote kirahisi tafuta mahali alipokojoa kisha weka majivu ya ndege aitwaye mbayuwayu. Mmmh...loading.

2. Mkuu kama nimelala kwenye gari na nikaota nagegeda..nipindue gari fasta, au ning'oe kiti kisha nikigeuze? Au applied kwenye mashuka tu?
Kwa kuwa mimi ni mtu wa utafiti, nitafanyia utafiti hiyo kwenye red.
Mkuu kama umelala kwenye gari geuza seat cover tuu mambo yatakuwa poa kama kawa.
 
Mi nlisikiaga hzi story nilpokuwa olevel! Tena inawezekana ndibalema ndo ulinambia!
 
Huwa inatokea sana hasa kwa wanaume unapomtamani sana mwanamke na sometimes unaogopa kumwambia labda kwa kuhofia kuwa hauna hadhi au yeye ni matawi ya juu na wewe ni ya chini au sometimes kwa kumuonea aibu tuu huwa unaota unafanya naye mapenzi, mara unapostuka unagundua kuwa ni ndoto tuu na ungetamani iwe kweli lakini hubaki ni ndoto tuu.

Mbinu ifuatayo inaweza kukusaidia.

Mara tuu unapostuka kutoka katika ndoto kama hiyo, haraka sana geuza shuka uliyoitandika kitandani kwako na ile uliyojifunika pia kisha endelea na usingiz wako.
Yani, shuka uliyoitandika itoe ule upande ulio juu uwe chini and vice versa, na ile shuka uliyojifunika vivyo hivyo.

Unajua nini kitatokea?

Na yeye yule uliyemuota muda huo huo kama yupo usingizini ataota exactly the same ndoto kama uliyoota wewe, yani ataota unamgegeda.

Kesho yake ukisha amka mtafute na usipitishe siku mwombe gemu, hakatai. hata awe nani hachomoki.

NB: Mbinu hii imefanyiwa utafiti na imekuwa proved.
Kumbuka inafanya kazi kama na yeye mhusika kwa muda huo atakuwa amelala hivyo inashauriwa ifanyike wakati wa usiku.



woman-dreaming.jpeg

mmh usiwapeleke chaka wenzako! Wenye kujaribu wajaribu halafu warudi kutuambia nini kimeendelea
 
Some tafiti are very interesting!

Hapa nadhani kama hii mbinu ikonekana kuwa na uwezekano wa kufanya kazi basi nawaza kwamba ukitaka iweze kufanya kazi kwa haraka na uhakika zaidi, itabidi ugeuze kuanzia, shuka, godoro, na kitanda chenyewe! Hapo nadhani haitakuwa tena kuota bali atajileta mwenyewe kabla hakujapambazuka, au??
 
ndug. iyo kali xax yani kumbe ata wew. niwaiman finyu. hahahahahaaa! ma wichdoctar niweng xan. kumbe.
 
ndug. iyo kali xax yani kumbe ata wew. niwaiman finyu. hahahahahaaa! ma wichdoctar niweng xan. kumbe.
 
Hahaha...hahaha...Teknolojia ya Mwafrika majanga matupu!
 
Huwa inatokea sana hasa kwa wanaume unapomtamani sana mwanamke na sometimes unaogopa kumwambia labda kwa kuhofia kuwa hauna hadhi au yeye ni matawi ya juu na wewe ni ya chini au sometimes kwa kumuonea aibu tuu huwa unaota unafanya naye mapenzi, mara unapostuka unagundua kuwa ni ndoto tuu na ungetamani iwe kweli lakini hubaki ni ndoto tuu.

Mbinu ifuatayo inaweza kukusaidia.

Mara tuu unapostuka kutoka katika ndoto kama hiyo, haraka sana geuza shuka uliyoitandika kitandani kwako na ile uliyojifunika pia kisha endelea na usingiz wako.
Yani, shuka uliyoitandika itoe ule upande ulio juu uwe chini and vice versa, na ile shuka uliyojifunika vivyo hivyo.

Unajua nini kitatokea?

Na yeye yule uliyemuota muda huo huo kama yupo usingizini ataota exactly the same ndoto kama uliyoota wewe, yani ataota unamgegeda.

Kesho yake ukisha amka mtafute na usipitishe siku mwombe gemu, hakatai. hata awe nani hachomoki.

NB: Mbinu hii imefanyiwa utafiti na imekuwa proved.
Kumbuka inafanya kazi kama na yeye mhusika kwa muda huo atakuwa amelala hivyo inashauriwa ifanyike wakati wa usiku.



woman-dreaming.jpeg

Superstitions tu hizo....Shit doesn't get any realer !! Ni sawa na miaka ya nyuma ulikua unaambiwa kucha zako za mikononi zikiwa na vile vi alama vyeupe kipindi ukiwa bado mtoto ina ashiria utakuja kua na pesa nyingi ukubwani (tajiri). As you mature you get to know that success only comes after prayers, effort and working smart not harder !! Mi nakataa mpaka kesho kutwa !!!
 
Huwa inatokea sana hasa kwa wanaume unapomtamani sana mwanamke na sometimes unaogopa kumwambia labda kwa kuhofia kuwa hauna hadhi au yeye ni matawi ya juu na wewe ni ya chini au sometimes kwa kumuonea aibu tuu huwa unaota unafanya naye mapenzi, mara unapostuka unagundua kuwa ni ndoto tuu na ungetamani iwe kweli lakini hubaki ni ndoto tuu.

Mbinu ifuatayo inaweza kukusaidia.

Mara tuu unapostuka kutoka katika ndoto kama hiyo, haraka sana geuza shuka uliyoitandika kitandani kwako na ile uliyojifunika pia kisha endelea na usingiz wako.
Yani, shuka uliyoitandika itoe ule upande ulio juu uwe chini and vice versa, na ile shuka uliyojifunika vivyo hivyo.

Unajua nini kitatokea?

Na yeye yule uliyemuota muda huo huo kama yupo usingizini ataota exactly the same ndoto kama uliyoota wewe, yani ataota unamgegeda.

Kesho yake ukisha amka mtafute na usipitishe siku mwombe gemu, hakatai. hata awe nani hachomoki.

NB: Mbinu hii imefanyiwa utafiti na imekuwa proved.
Kumbuka inafanya kazi kama na yeye mhusika kwa muda huo atakuwa amelala hivyo inashauriwa ifanyike wakati wa usiku.



woman-dreaming.jpeg

Haha Haha technically speaking naunga mkono hoja!!!
 
Back
Top Bottom