FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #81
wakitaka bkra asi waende CHINA..ni magume gume tu hao
Rose1980 Bikra wanaziondoa wao mapeeeeeeeeeema watazitoa wapi tena???
wakitaka bkra asi waende CHINA..ni magume gume tu hao
By the time najiandaa kummega hausigelo, mara akatokea bibi.
Tangu siku hiyo, nyumbani kwa bibi yenu ni kituo cha polisi cha mahausigelo.
Wanaume hawakosi visingizio, mtaongea sana, lakini mwisho wa siku ni tamaa tu na akili mbovumbovu. Hakuna connection ya kufuliwa nguo au kupikiwa na kulala na housegirl. Kama ni kuonyesha appreciation mtu anaweza kuongea na mkewe namna ya kum reward na si kulala nae.
wakati mwingine sisi wenyewe kina mama tunachangia sana,mama anashindwa kumwandalia mumewe chakula,kufua na kupiga basi,kusafisha viatu ,kukata kucha,kumuandalia matunda,maji ya kuoga yooooote hayo yanafanywa na msichana sasa hapo kaolewa nani/msichana au huyo mama feki?mwanaume ni kama mtoto utakavyompeti peti pamoja na udhaifu wake lkn bado atakuheshim tu maana ww ni mama yake wapili katika malezi,mwanammke kuanzia j3 mpaka j2 uko busy tu hujui hata mumeo kala nn kashindaje utasema umekuwa dei worker wa daladala?tunajua majukum tuliyonayo ni mengi lkn tunapaswa kuwa na mda na familia zetu jamani tuachane na utandawazi na uzungu mwingi tukumbuke mila zetu na kutunza familia zetu,am out!
kwa sababu mie ni mzazi najua ugumu wa maisha namlipa vizuri tu na family yake naisaidia ingawa sipendi kuweka wazi hii kitu hapa,Lakini pia hili tatizo halipo kwangu Mwalimu usiwe na hofu ,
Wanaume hawakosi visingizio, mtaongea sana, lakini mwisho wa siku ni tamaa tu na akili mbovumbovu. Hakuna connection ya kufuliwa nguo au kupikiwa na kulala na housegirl. Kama ni kuonyesha appreciation mtu anaweza kuongea na mkewe namna ya kum reward na si kulala nae.
Rose1980 Bikra wanaziondoa wao mapeeeeeeeeeema watazitoa wapi tena???
By the time najiandaa kummega hausigelo, mara akatokea bibi.
Tangu siku hiyo, nyumbani kwa bibi yenu ni kituo cha polisi cha mahausigelo.
wao unadhan wanafikiria ilo?
wanachotaka bikra..akumbuk jana aliitoa yeye mwenyewe..
ni km mtoto vle anaenda dukan ..ataka pipi,..akipewa anaimun'gunya yoote then anaanza nataka ela anguuu ..mpe elaaaa angu...ndo km awa kaka zetu..wanafikiria kuanzia 11 lakin hwajui kuna 10 na wenzake uku chn...(weng wao)
Unajua sio hivyo lakini watu wengi hawaichukulii ile Kama kazi.
Wanaona ni kumfanyia favor kumtoa kijijini hivyo kumtuma Kama punda
Wewe ukisema na familia yake unaitizama unaona Kama plus lkn ni kwa kuwa huichukulii Kama ajira.
Mwajiri wako anaitizama/saidia familia yako zaidi ya mshahara?
eeh kumbe ulikuwa katika mchakato?
OOPs itabidi tuanze kufunga na kuomba kabla ya kuleta M/G majumbani kwetu,
Ila ni kweli wanaume wamesema tuna madhaifu na mapungufu kibao
Je hiyo ndio sababu ya wao kuanza kudokoa hapo hapo ndani ya nyumba?
Unajua sio hivyo lakini watu wengi hawaichukulii ile Kama kazi.
Wanaona ni kumfanyia favor kumtoa kijijini hivyo kumtuma Kama punda
Wewe ukisema na familia yake unaitizama unaona Kama plus lkn ni kwa kuwa huichukulii Kama ajira.
Mwajiri wako anaitizama/saidia familia yako zaidi ya mshahara?
mbona i imekaaa ki appeal to person?
Name calling had been noted here....
Sijakuelewa Rose kizungu hakipandi hapa. Njoo kwa lugha ya taifa
Ticha don't you worry unajua kila mtu anakanuni ya maisha
Binti akinambia anauguliwa kwao na uwezo wa kwao haupo ni wajibu wangu kumsaidia
Mama akipiga simu anaomba hela ya palizi au kilimo kijijini namsaidia kwani hiyo iko kwenye job description yake?
dzain unam atak 1st lady...
lakin kasema ye hana janga ili..
ahhh poa potezea...mambo vp lakin dada ngu?
[/COLOR]
Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.