Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Nadhani tatizo ni uaminifu wa cc wanaume, siyo siri hakuna kesi mbaya nilowahi kukutana nayo kama ya mama mmoja ambaye alikuwa mwaminifu katika ndoa na baada ya kupata HG alionekana kuwa mzuri na kadili ck zilivyopita akawa karibu na mumewe kumbe walikuwa wana do. hakuna alojua historia ya yule binti baada ya kumshinda mama aliamua kuwachukuwa watoto wake wadogo watatu na kuanza maisha kivyake bahati nzuri alikuwa na kazi.

Ck nenda rudi yule HG akafariki kwa ngwengwe na walipofuatilia wakagundua kuwa aliwahi kuolewa na mwanajeshi ambaye alifariki kwa ngwengwe. Mume akarudi kwa mkewe bila mafanikio. Badae mama akaamua kwenda angaza only kugundua kuwa amesha nasa. Alikata tamaa na baada ya miezi mume akaaga dunia, sasa yule mama anaishi kwa matumaini na alisema hawezi kamwe kumsamehe mumewe na ndo maana HATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA WANAUME. Jamani kuweni waaminifu katika ndoa zenu. Kama mkeo hakuridhishi kwanini ucmwambie nina hakiha ukimueleza ck nyingine atajitahidi!
 
Juzi nilikuwa katika semina fupi ya mambo ya ndoa ,kila mwanamke aliyekuwa akisimama ana-complain mahusiano mabaya ya mmewe na H/G

..........Mie Binafsi nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya kina baba mnaamua kuwa na uhusiano na M/G wakati mnajua kabisa kitendo hiki kinamdhalilisha sana Firstlady wako hata kumfanya H/G aanzishe dharau na choko choko ndani ya nyumba???

I salute!

Ni kweli hili ni tatizo kwenye familia nyingi. Lakini mara nyingi kitendo cha baba kutembea na housegirl (or indeed any other woman) ni manifestation tu ya matatizo/tatizo katika mahusiano kati ya mume na mke.

Kwa maoni yangu, kiini cha matatizo mengi katika mahusiano kati ya wanawake na wanaume ni uelewa mdogo wa pande zote mbili juu ya jinsia nyingine. Kibaologia kuna tofauti kubwa sana kati mwanamke na mwanaume na hii pia inasababisha psychology ya jinsia hizi mbili kuwa tofauti sana. Kwa hivyo bila ya pande hizi kuelewa ('appreciate') tofauti hizi ni vigumu sana kukaa pamoja.
 
Swala lililoko hapa sio H/G mshahara mdogo
Sijui Husband hatimiziwi mahitaji ya nyumba
Kwa kifupi maadili yamemomonyoka
baadhi ya wanaume wamekuwa macho juu juu kama ndege
hata umpe nini haridhiki
Hata umfanyie nini haridhiki
H/G ukikaa nae 4 month akaanza kuoga na kutakata kisha kuanza kupigiwa miluzi tu
Kazi inaanza anaanza kujiona mzuri ,na akishajua wanaume tu ndo atataka hata mmeo amjaribu
Anaanza kumfanyia visa ukiwa haupo ara kapita na kanga katoka kuoga
mara ajikalishe sitting room mikao ya ovyo
Na mengineyo
Kwa kifupi adabu imeporomoka...................:ban:

Hebu na wewe jaribu kufanya hivyo kwa mumeo uone
 
Nadhani tatizo ni uaminifu wa cc wanaume, siyo siri hakuna kesi mbaya nilowahi kukutana nayo kama ya mama mmoja ambaye alikuwa mwaminifu katika ndoa na baada ya kupata HG alionekana kuwa mzuri na kadili ck zilivyopita akawa karibu na mumewe kumbe walikuwa wana do. hakuna alojua historia ya yule binti baada ya kumshinda mama aliamua kuwachukuwa watoto wake wadogo watatu na kuanza maisha kivyake bahati nzuri alikuwa na kazi.

Ck nenda rudi yule HG akafariki kwa ngwengwe na walipofuatilia wakagundua kuwa aliwahi kuolewa na mwanajeshi ambaye alifariki kwa ngwengwe. Mume akarudi kwa mkewe bila mafanikio. Badae mama akaamua kwenda angaza only kugundua kuwa amesha nasa. Alikata tamaa na baada ya miezi mume akaaga dunia, sasa yule mama anaishi kwa matumaini na alisema hawezi kamwe kumsamehe mumewe na ndo maana HATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA WANAUME. Jamani kuweni waaminifu katika ndoa zenu. Kama mkeo hakuridhishi kwanini ucmwambie nina hakiha ukimueleza ck nyingine atajitahidi!

OMG! nimekosa neno la kuongeza inasikitisha
 
Tumuogopeni Mungu wakaka/wadada/wamama/watoto.

Tuachane na hivi visingizio, sijui wanawake hawawajibiki, sijui wanaume hawafai.
Mi naona hiyo yote ni kujaribu kuzitetea nafsi zetu tu.

Baba angu mpendwa unapotembea na H/G kweli hio yaweza kuwa ni kwa sababu mke wako akujali.
Kwanza hata huyu binti mwenyewe jamani, si unamharibia tu maisha yake. Kumbuka binti huyu unaemwingilia alikuja kwako kwa sababu tu hakupata nafasi ya kusoma, au kusoma vizuri, hakuzaliwa kwene familia inaojiweza ili aweze kujikomboa kiakili hatimaye kiuchumi.

Tusifanye tu mambo machafu haya kwa sababu tunaweza kuyafanya hapana. Tufikirie kesho yetu pia, baba una watoto wa kike na wewe, kesho yako huijui wewe, hujui maisha ya huyu binti yako yatakua je, hata kama una mapesa na majumba, lakini maisha yetu yapo mikononi mwa Mungu tu.

Kwa nini usimfanyie wema mtoto wa mwenzio kama unavyotaka watoto wako wafanyiwe wema??
Tukumbuke tu kwamba, jehanamu huwa inaanzia hapa duniani.
Na mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Afadhali umesema wanaume wengi, na siyo wote. Ningekutwanga laana.

BTW hujambo mpenzi? Unajua navokumisi lakini?

Babu Aspirin,nimelaaniwa sana mimi,zitakazofuata zote zitadunda tu. Waga nina tatizo la kusema nachofikiri sasa hii imepelekea kulaaniwa every now and then coz sometimes sichagui namwambia nani!!!!
 
Michelle lazima atashangalia kondoo mmoja aliyetaka kupotea na kuamu kurudi kundini

Ndo kitu nampenda Aspirin,akishajua kosa anakuwa mkweli,anaomba msamaha na anamuomba mpenzi arudi.....keep that!
mpokee kwa mikono miwili.....................:smile-big::welcome:
 
Back
Top Bottom