Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

[/COLOR]

Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.




Afadhali umesema wanaume wengi, na siyo wote. Ningekutwanga laana.

BTW hujambo mpenzi? Unajua navokumisi lakini?
 
Tatizo la house maids ni kubwa mno kuliko tunavyofikiria.

Sasa wanalala na baba wenye nyumba tumeanza kuliona tatizo lakini kuna mambo ya haki zao maids nani anafuatilia?

Ningekushaurini akina dada msome kitabu kimoja kinaitwa "The help" kinaweza wapa muongozo wa the other side of the story.

If you treat your maid and your husband right nafikiri tatizo lingekuwa dogo sana


hapa hata sijui niseme nini Gaijin:angel:
 
Tatizo la house maids ni kubwa mno kuliko tunavyofikiria.

Sasa wanalala na baba wenye nyumba tumeanza kuliona tatizo lakini kuna mambo ya haki zao maids nani anafuatilia?

Ningekushaurini akina dada msome kitabu kimoja kinaitwa "The help" kinaweza wapa muongozo wa the other side of the story.

If you treat your maid and your husband right nafikiri tatizo lingekuwa dogo sana

The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:

Mabel (Today)​
 
[/COLOR]

Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.





Amen Amen Amen
Kuna dada kasema hili ni janga la kitaifa
 
hapa hata sijui niseme nini Gaijin:angel:

It's a sweeping general statement haikuhusu wewe personally au mwengine yoyote kwenye thread hii.

Nnachotaka kusema ni kuwa kwa kuwa wa mama wana sehemu ya kufikisha sauti zao zikasikika ndio maana tunasikia haya tu kuhusu h/g. Ile kanuni ya 'might is right' imeota mizizi hapo.

Hawa maids matatizo Yao hatuyasikii.

Huko kwenye seminar, hao wanawake waume zao walolala na maids waliulizwa namna wanavyo wa treat maids wao?
 
It's a sweeping general statement haikuhusu wewe personally au mwengine yoyote kwenye thread hii.

Nnachotaka kusema ni kuwa kwa kuwa wa mama wana sehemu ya kufikisha sauti zao zikasikika ndio maana tunasikia haya tu kuhusu h/g. Ile kanuni ya 'might is right' imeota mizizi hapo.

Hawa maids matatizo Yao hatuyasikii.

Huko kwenye seminar, hao wanawake waume zao walolala na maids waliulizwa namna wanavyo wa treat maids wao?

Mwalimu wangu,

hili somo utalitungia mtihani?
 
So painful. hawa hawa ma H/G ndio wanaowafundisha watoto wetu wa kiume kunanihiii.
 
Swala lililoko hapa sio H/G mshahara mdogo
Sijui Husband hatimiziwi mahitaji ya nyumba
Kwa kifupi maadili yamemomonyoka
baadhi ya wanaume wamekuwa macho juu juu kama ndege
hata umpe nini haridhiki
Hata umfanyie nini haridhiki
H/G ukikaa nae 4 month akaanza kuoga na kutakata kisha kuanza kupigiwa miluzi tu
Kazi inaanza anaanza kujiona mzuri ,na akishajua wanaume tu ndo atataka hata mmeo amjaribu
Anaanza kumfanyia visa ukiwa haupo ara kapita na kanga katoka kuoga
mara ajikalishe sitting room mikao ya ovyo
Na mengineyo
Kwa kifupi adabu imeporomoka...................:ban:
 
Swala lililoko hapa sio H/G mshahara mdogo
Sijui Husband hatimiziwi mahitaji ya nyumba
Kwa kifupi maadili yamemomonyoka
baadhi ya wanaume wamekuwa macho juu juu kama ndege
hata umpe nini haridhiki
Hata umfanyie nini haridhiki
H/G ukikaa nae 4 month akaanza kuoga na kutakata kisha kuanza kupigiwa miluzi tu
Kazi inaanza anaanza kujiona mzuri ,na akishajua wanaume tu ndo atataka hata mmeo amjaribu
Anaanza kumfanyia visa ukiwa haupo ara kapita na kanga katoka kuoga
mara ajikalishe sitting room mikao ya ovyo
Na mengineyo
Kwa kifupi adabu imeporomoka...................:ban:

unastahili pongez na si ban
 
Nadhani tatizo ni uaminifu wa cc wanaume, siyo siri hakuna kesi mbaya nilowahi kukutana nayo kama ya mama mmoja ambaye alikuwa mwaminifu katika ndoa na baada ya kupata HG alionekana kuwa mzuri na kadili ck zilivyopita akawa karibu na mumewe kumbe walikuwa wana do. hakuna alojua historia ya yule binti baada ya kumshinda mama aliamua kuwachukuwa watoto wake wadogo watatu na kuanza maisha kivyake bahati nzuri alikuwa na kazi.

Ck nenda rudi yule HG akafariki kwa ngwengwe na walipofuatilia wakagundua kuwa aliwahi kuolewa na mwanajeshi ambaye alifariki kwa ngwengwe. Mume akarudi kwa mkewe bila mafanikio. Badae mama akaamua kwenda angaza only kugundua kuwa amesha nasa. Alikata tamaa na baada ya miezi mume akaaga dunia, sasa yule mama anaishi kwa matumaini na alisema hawezi kamwe kumsamehe mumewe na ndo maana HATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA WANAUME. Jamani kuweni waaminifu katika ndoa zenu. Kama mkeo hakuridhishi kwanini ucmwambie nina hakiha ukimueleza ck nyingine atajitahidi!
 
Mod acha mkwala ...

umeona enhh?
dawa yake mpe ugoro uyo

Swala lililoko hapa sio H/G mshahara mdogo
Sijui Husband hatimiziwi mahitaji ya nyumba
Kwa kifupi maadili yamemomonyoka
baadhi ya wanaume wamekuwa macho juu juu kama ndege
hata umpe nini haridhiki
Hata umfanyie nini haridhiki
H/G ukikaa nae 4 month akaanza kuoga na kutakata kisha kuanza kupigiwa miluzi tu
Kazi inaanza anaanza kujiona mzuri ,na akishajua wanaume tu ndo atataka hata mmeo amjaribu
Anaanza kumfanyia visa ukiwa haupo ara kapita na kanga katoka kuoga
mara ajikalishe sitting room mikao ya ovyo
Na mengineyo
Kwa kifupi adabu imeporomoka...................:ban:

Nakuhifadhi kwa muda.

Hujambo lakini. Sijapata zawadi yangu ya mwaka mpya ujue. Na hiyo kwa babu ni dhambi!
 
Back
Top Bottom