nina hakika ushauri wangu unahitajika katika hii sredi lakini nawahi kikao kidogo, msihuzunike nitalejea. naomba mod wasije wakaipeleka hii sredi kwenye jukwaa la wakubwa sina access ya huko.
asanteni kwa ushirikiano.
klorokwini a.k.a kibaka mzoefu.
Hivi bado dozi ya klorokwini ni fo fo tu?