Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Wanaume hawakosi visingizio, mtaongea sana, lakini mwisho wa siku ni tamaa tu na akili mbovumbovu. Hakuna connection ya kufuliwa nguo au kupikiwa na kulala na housegirl. Kama ni kuonyesha appreciation mtu anaweza kuongea na mkewe namna ya kum reward na si kulala nae.

Thanx swirry mawazo yako mazuri sana .. sas huyu nanihii mara ooh kitanda ,mara ooh kunyoa ndefu H/G wapi na wapi:love:
 
wakati mwingine sisi wenyewe kina mama tunachangia sana,mama anashindwa kumwandalia mumewe chakula,kufua na kupiga basi,kusafisha viatu ,kukata kucha,kumuandalia matunda,maji ya kuoga yooooote hayo yanafanywa na msichana sasa hapo kaolewa nani/msichana au huyo mama feki?mwanaume ni kama mtoto utakavyompeti peti pamoja na udhaifu wake lkn bado atakuheshim tu maana ww ni mama yake wapili katika malezi,mwanammke kuanzia j3 mpaka j2 uko busy tu hujui hata mumeo kala nn kashindaje utasema umekuwa dei worker wa daladala?tunajua majukum tuliyonayo ni mengi lkn tunapaswa kuwa na mda na familia zetu jamani tuachane na utandawazi na uzungu mwingi tukumbuke mila zetu na kutunza familia zetu,am out!

....Well said Pearl! U deserve ''bonus'' wewe inayofanana na ''POSA'' kama ni mama .... utakuwa bora sana.......!
 
kwa sababu mie ni mzazi najua ugumu wa maisha namlipa vizuri tu na family yake naisaidia ingawa sipendi kuweka wazi hii kitu hapa,Lakini pia hili tatizo halipo kwangu Mwalimu usiwe na hofu ,

Unajua sio hivyo lakini watu wengi hawaichukulii ile Kama kazi.

Wanaona ni kumfanyia favor kumtoa kijijini hivyo kumtuma Kama punda

Wewe ukisema na familia yake unaitizama unaona Kama plus lkn ni kwa kuwa huichukulii Kama ajira.

Mwajiri wako anaitizama/saidia familia yako zaidi ya mshahara?
 
Wanaume hawakosi visingizio, mtaongea sana, lakini mwisho wa siku ni tamaa tu na akili mbovumbovu. Hakuna connection ya kufuliwa nguo au kupikiwa na kulala na housegirl. Kama ni kuonyesha appreciation mtu anaweza kuongea na mkewe namna ya kum reward na si kulala nae.

Kila mtu anakuwa na inactive tamaa (hata wewe)Point hapa ni namna hiyo tamaa inavyokuwa activated
Kuna kazi ambazo anaweza kufanya HG na zingine(hasa zinazokuweka karibu na mme wako) HG asiguse kabisa
 
Rose1980 Bikra wanaziondoa wao mapeeeeeeeeeema watazitoa wapi tena???

wao unadhan wanafikiria ilo?
wanachotaka bikra..akumbuk jana aliitoa yeye mwenyewe..
ni km mtoto vle anaenda dukan ..ataka pipi,..akipewa anaimun'gunya yoote then anaanza nataka ela anguuu ..mpe elaaaa angu...ndo km awa kaka zetu..wanafikiria kuanzia 11 lakin hwajui kuna 10 na wenzake uku chn...(weng wao)
 
wao unadhan wanafikiria ilo?
wanachotaka bikra..akumbuk jana aliitoa yeye mwenyewe..
ni km mtoto vle anaenda dukan ..ataka pipi,..akipewa anaimun'gunya yoote then anaanza nataka ela anguuu ..mpe elaaaa angu...ndo km awa kaka zetu..wanafikiria kuanzia 11 lakin hwajui kuna 10 na wenzake uku chn...(weng wao)

Name calling had been noted here....
 
Unajua sio hivyo lakini watu wengi hawaichukulii ile Kama kazi.

Wanaona ni kumfanyia favor kumtoa kijijini hivyo kumtuma Kama punda

Wewe ukisema na familia yake unaitizama unaona Kama plus lkn ni kwa kuwa huichukulii Kama ajira.

Mwajiri wako anaitizama/saidia familia yako zaidi ya mshahara?

mbona i imekaaa ki appeal to person?
 
OOPs itabidi tuanze kufunga na kuomba kabla ya kuleta M/G majumbani kwetu,
Ila ni kweli wanaume wamesema tuna madhaifu na mapungufu kibao
Je hiyo ndio sababu ya wao kuanza kudokoa hapo hapo ndani ya nyumba?


Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.



 
Unajua sio hivyo lakini watu wengi hawaichukulii ile Kama kazi.

Wanaona ni kumfanyia favor kumtoa kijijini hivyo kumtuma Kama punda

Wewe ukisema na familia yake unaitizama unaona Kama plus lkn ni kwa kuwa huichukulii Kama ajira.

Mwajiri wako anaitizama/saidia familia yako zaidi ya mshahara?

Ticha don't you worry unajua kila mtu anakanuni ya maisha
Binti akinambia anauguliwa kwao na uwezo wa kwao haupo ni wajibu wangu kumsaidia
Mama akipiga simu anaomba hela ya palizi au kilimo kijijini namsaidia kwani hiyo iko kwenye job description yake?
 
Tatizo la house maids ni kubwa mno kuliko tunavyofikiria.

Sasa wanalala na baba wenye nyumba tumeanza kuliona tatizo lakini kuna mambo ya haki zao maids nani anafuatilia?

Ningekushaurini akina dada msome kitabu kimoja kinaitwa "The help" kinaweza wapa muongozo wa the other side of the story.

If you treat your maid and your husband right nafikiri tatizo lingekuwa dogo sana
 
Ticha don't you worry unajua kila mtu anakanuni ya maisha
Binti akinambia anauguliwa kwao na uwezo wa kwao haupo ni wajibu wangu kumsaidia
Mama akipiga simu anaomba hela ya palizi au kilimo kijijini namsaidia kwani hiyo iko kwenye job description yake?

mmh ur so gud
bt haina haja ya kumjibu aya yoote..bt its well n gud
semina ln tena...naitaka sana iyo...ile ya uchumba na ndoa...nataka nijijenge kindoa...
 
[/COLOR]

Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.










amen say t again
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom