ile aspirin ipo au iko out of stock ? ishauzwa yoteSALUNI HAPO MKUU!
hahahahaha
kibongo bongo
hivi wewe ni mwanamke au mwanaume?Teamo ...............usini nukuuu vibaya .......sijasema kuwa wanawake wote wana harufi sawa.
ninachosema ni kuwa wakati wa sex hupatikana harufu (to some ppl more powerful than others), na ile harufu yako wewe utakayopata ukifanya sex na mkeo pia yaweza kuwa na madhara kwa mtoto IF ile harufu uliyopata kwa kimada inaleta madhara................y tunazungumzia kuoga ukimalizana na kimada tu? kwa nini tusiseme tuoge hata tukimaliza kufanya sex na wake zetu?
nashindwa kupewa jibu muafaka hadi sasa .............
ngoja niondoke naona hapa kutakuwa na SIMBA na YANGAHalafu nina mpango wa kwenda sehem sehem leo ku do ze nidiful.....japokuwa ni utaratibu kujiswafi lakini sijaon a connection kati ya harufu ya infidelity na immunity/madhara kwa mtoto mchanga
naongea from a practical exprience.....u know what I mean...:tape:
hivi wewe ni mwanamke au mwanaume?
kama ni mwanaume:FANYA SEX NA MKEO UNAWEZA OGA AU UKALALA UTAJIJUA!lakini kama unaishi ''kitanzania'' na kitanda ni kimoja naomba ukaoge
kama wewe ni mwanamke NA UNA MTOTO MCHANGA:fanya sex na mumeo baada ya mtoto kulala tena ikibidi muandalieni kakitanda kengine pembeni.lakini kama mnaishi ''kitanzania'' zaidi na ni MWANAMKE MWNYE MAADILI YAKO KAOGE BAADA YA KUPIGWA PAIPU NA MUMEO.
NB:nasikitika sana umenipindishia topic yangu......!maanake unabishania kitu ambacho ungeweza kukianzishia thread......!naomba urejee title ya hii thread tafadhali
mwanaume infidelator wa ukweli:ukiona umepiga ''kazi'' umeshindwa kuoga fanya unavyoweza kwa mbinu zozote zile uanzie bafuni ukifika nyumbani
ahahah Teamo tokea mwanzo si ungelijibu hivi tu usingelipata masuala extra ambayo yamekupindishia thread yako
japo kuwa ushahidi wa kisayansi haukutoka ..............nimeridhika na jibu hili la KItamaduni :smile: