Rafiki wa kweli atakupea japo kidunchu..
Yaani ukiwa na shida ya 50k siwezi kushindwa kukupa 40k na 3k ya kutolea. Huo ndio urafiki, tupeane.![]()
Angeomba taratibu ungempatia ?
We jua kwamba nyege zilimzidi msamehe Urafiki uendelee.
Utamu si mnasikia wote shida iko wapi!?
Icho nacho ni kitu cha kunyima mtu
Ukute jamaa ni member wa jf na Uzi wake pendwa ni ule wa kula/kuliwa kimasiahara


Wewe hujakomaa kiakili!!Sio siku ya kwanza ni rafiki wa muda mrefu sijui hiyo siku aliingiwa na pepo gani
Jamaa ashatangaza nia sasa wewe unalazimisha undugu! na unaenda usiku wa manane kwa rafiki wa kiume ambae sio mtoto wa mama ako wala baba ako unatafuta nini kama sio kuliwa kimasihara.Nishasema rafiki sasa hiyo kupatiwa nampatia vipi kiufupi mimi namchukulia Kama kaka… sasa kaka na dada huwa wanakulana??
Angeipakia mkongo asingeweza kumuacha aondoke.Kama namuona alivyolala kakunja sura baada ya kuikosa mbususu ukizingatia "huenda" alishaipakia mkongo 😁 😁
Ni wa huko kwa mamako.Huyo jamaa mshamba sana sio wa Kaskazini kweli huyo??
Labda unatumia post zangu za jf ku-judge personality yangu.Tena wewe ni mzinzi mzuri tu hamna cha kuvutiwa au kutokuvutiwa.