Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

B
Wakati nipo chuo mwaka wa kwanza, Kuna siku nilipigiwa simu, namba mpya, alikua ni baba yangu mdogo ambae ndio wa mwisho kuzaliwa kwa kina baba, kipindi hicho kiumri alikua early 30's.
Akaniambia Mimi baba yako mdogo nipo Dar kikazi nimefikia hoteli Fulani nataka nikuone tusalimiane nimeambiwa upo chuo dar, Basi nikamwambia sawa nitakuja siku Fulani Sina kipindi.
Nilivyomaliza kuongea nae nikampigia baba simu nikamwambia bamdogo Fulani kanipigia kaniambia yupo dar anataka kuniona siku Fulani.
Baba kwanza alikaa kimya muda mrefu halafu akaniambia usiende, ikifika hiyo siku uliyosema utaenda mwambie upo busy aje hosteli kukusalimia, akikulazimisha uniambie, kwa kipindi kile nilishangaa nikaona mzee mbona kawaza mbali Sana huyu si sawa tu na baba yangu, lakini nilitii ilivyofika siku sikwenda hotelini na bamdogo akasema hawezi kuja hosteli nikamwambia haya tutaonana wakati mwingine.
Huwa najiuliza mzee sijui aliwaza nini.
Baba yako aliona mbali, anamjua mdogo wake au wana visasi ukute baba yako alishawahi kumla demu wa mdogo yake akaapa kulipiza kwa kumlia mtoto wake. Family chaos, anyways Kuna baba yangu mdogo alishawahi mtongoza mdogo wangu.
 
B

Baba yako aliona mbali, anamjua mdogo wake au wana visasi ukute baba yako alishawahi kumla demu wa mdogo yake akaapa kulipiza kwa kumlia mtoto wake. Family chaos, anyways Kuna baba yangu mdogo alishawahi mtongoza mdogo wangu.
Nimewahi kukutana na mtoto wa baba mdogo wake mamaake
 
Ungemuambia ulikua period. Period.
Unakula vya watu halafu unajifanya Ni rafiki yako? Wapi uliona mvulana ana urafiki wa Aina hiyo na mrembo.
Yaani akulishe wengine wakale bure?
Tena umeniudhi Sana ujue.
 
Nyege mama....msamehe buree,kichwa kidogo kilikuwa na wenge
 
Mh.poleh..kwanza ulianzaje kwenda kama sio mumeo /mpenzi afu ugenini

kwa jinsi nnavyowasoma humu 😙 eti rafikiiii , wachache sana wanaweza,..wengine anakulala vizuri na mimba hapohapo na huna pakusemea , si umejipeleka mwenyewe...(usimwamini rafiki asilimia zootee)
 
Una miaka mingapi Hadi usijue Hilo?yaani uende saa 3 za usiku Kwa mwanaume rijali halafu uje na story hauko serious
 
kosa ni kufunga mlango, ila kukwambia ulale kawaida tu.

mlikula kitimoto akapata nguvu, alikuwa anatengeneza namna ya kutumia nguvu alizopata
Sure, kufunga mlango ni kukosa kua gentlemen enough. Angeiomba tu kishkaji na mlango ukiwa wazi angepewa
 
Nilimuamini kwasababu niliona ana aminika halafu alisema tu upite upaone na Mimi sikutaka kukaa sana hata nusu saa haikuisha nikasema sio vizuri kukaa zaidii nisimtie majaribuni kaka wa watu niondoke ila yeye akaona kapata chaka
kitendo cha kukubali tu kutoka naye out basi tayari ushamtia majaribuni
 
Back
Top Bottom