Pole sana mkuuSio siku ya kwanza ni rafiki wa muda mrefu sijui hiyo siku aliingiwa na pepo gani
Ungeliwa vibaya sana binti, mtu anakwambia eti uende ukapaone kwake usiku na ww unaenda
Pole sana mkuu
Tafuta rafiki wa kike
Bora angekukula, uliona wapi urafiki wa swala na simba?
Kumbe ulijua kuna majaribu?Nilimuamini kwasababu niliona ana aminika halafu alisema tu upite upaone na Mimi sikutaka kukaa sana hata nusu saa haikuisha nikasema sio vizuri kukaa zaidii nisimtie majaribuni kaka wa watu niondoke ila yeye akaona kapata chaka
Ngoja Mamong'oo waione hii.Huyo jamaa mshamba sana sio wa Kaskazini kweli huyo??
Nimesikitika sana rafiki yangu wa Miaka mingi alivyotaka kunigeuka
Niko mkoa x nimekuja nina Kama siku 3 nikamtonya best yangu kwamba nipo alipo bila hiyana akasema kadogo2 usiondoke bila kuonana na Mimi nikakubali wito kwasababu amekuwa rafiki yangu sana na hatujaonana Miaka miwili
Basi nikaitikia wito tukaonana alikuwa na mshikaji wake wakaagizia mbuzi katoliki tukala tukaenjoy na story mbili tatu, kufika saa3:20 nikamwambia best muda umeenda pia nasikia huku usalama mdogo wacha nirudi nilipotoka tutaonaa siku nyinginee ndio jamaa kuniomba nikaone alipoamia ili siku nyinginee nije
Nikauliza tu Kama usalama wa mimi kurudi nilipotoka utakuwepo akasema niondoe shaka anajuana na wengi,, basi mie huyo nikakubali tukaenda kwake, jamaa ana kageto chake cha kishikaji tukapiga story kidogo saa 4:15 nikamwambia muda umeenda niondoke sasa anitafutie Usafiri looohhapo ndio aliponiletea ungese pumbavu
Akaanza kung’ang’aniza nilale kwake akidai kuwa usiku umeenda sijui Hakuna usalama jamani sijawah kuchukia Kama nilivyochukuia hiyo siku… yaani nilitamani hata kumpiga maana mimi kule ni mgeni sipaelewi na ni usiku
Jamaa yule alifunga mlango mkubwa wa kutokea nikabaki koridoni masaa2 hataki niende ananilazimisha nilale, tuliendelea kubishana sana,, nilimtolea maneno magumu sana mwisho wa siku akaniruhusu nikaondoka
Nilichojifunza wanawake hawa wanaume tusiwaamini Hakunaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke period ni suala la muda tu
huyu ana asili ya uchoyo alitaka jamaa aililie atoe michozi debe agaregare ndio angemupaHuo ni urafiki wa nyoko
Mahesabu ya mwamba yamekataa. Acha uchoyo dada.
duh tuko tofauti. mimi demu akiniwekea tu ushkaji na ikatokea tumepiga dili basiiii hata kama mwanzo nilimtamani hisia zinayeyuka nakua namuona kama dada..Kikawaida hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke hasa wakiwa wanavutiana
Huyo jamaa mshamba sana sio wa Kaskazini kweli huyo??
Na angefanikiwa mukaja kuwa wapenzi siku ya ndoa unreported tulianza kama marafiki date your friend.