Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Alikosea hesabu kidogo, marafiki hawaliwi kwa nguvu na haraka namna hiyo.
 
Sasa Mkuu na kitimoto umekulana bia umekunywa afu unataka nilale na genye zangu kweli nisamehe rafiki yangu siku nyingine uje ukiwa umejiandaa
 
Sio siku ya kwanza ni rafiki wa muda mrefu sijui hiyo siku aliingiwa na pepo gani
We gawa kitumbua hicho, utafikiri hujawahi kuliwa vile. Kitumbua ni kitu cha kumyima mtu kweli.
 
Ni rafiki yangu sana tunapeana madili mengi ila suala la kunilazimisha nilale kwake kwa nguvu mpk kunifungua mlango limeniudhi sana… na nia hubadilika inawezekana alikuwa nayo nzuri ila baadae angebadilisha nia
Huyo mpuuzi mbususu haiombwi kifala hivyo!...umefanya vizuri kumnyima kenge huyo.
 
Sipendelei urafiki na swala .....maana nikiwa nimeshiba hamna shida tatizo siku nikiwa na njaa na Sina namna naweza nikapata wazo la kumtafuna .....

Inshort sipendi lawama...
 
Sijui kwa nini ule wimbo wa Mshike huyooo umenijia kichwani
 
Mods waweke utaratibu muwe mnalipia matangazo
 
Uzuri tunaishi mikoa tofauti aina madhara
Basi na mawasiliano ndo basi Tena urafiki ndo ushakufa hakunaga urafiki wa mwanaume na mwanamke bila kugongana, hapo ndo basi Tena, wee pambana na mpenzi wako tuu ndo awe rafki yako
 
Wakati nipo chuo mwaka wa kwanza, Kuna siku nilipigiwa simu, namba mpya, alikua ni baba yangu mdogo ambae ndio wa mwisho kuzaliwa kwa kina baba, kipindi hicho kiumri alikua early 30's.
Akaniambia Mimi baba yako mdogo nipo Dar kikazi nimefikia hoteli Fulani nataka nikuone tusalimiane nimeambiwa upo chuo dar, Basi nikamwambia sawa nitakuja siku Fulani Sina kipindi.
Nilivyomaliza kuongea nae nikampigia baba simu nikamwambia bamdogo Fulani kanipigia kaniambia yupo dar anataka kuniona siku Fulani.
Baba kwanza alikaa kimya muda mrefu halafu akaniambia usiende, ikifika hiyo siku uliyosema utaenda mwambie upo busy aje hosteli kukusalimia, akikulazimisha uniambie, kwa kipindi kile nilishangaa nikaona mzee mbona kawaza mbali Sana huyu si sawa tu na baba yangu, lakini nilitii ilivyofika siku sikwenda hotelini na bamdogo akasema hawezi kuja hosteli nikamwambia haya tutaonana wakati mwingine.
Huwa najiuliza mzee sijui aliwaza nini.
 
Pole sana
Urafiki wa mwanaume na mwanamke nj changamoto utaombwa tu
 
Back
Top Bottom