Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Kilichokusumbua wewe ni Mwanaume uliyemwacha lodge mlikofikia

Asingekuelewa
 
Mbona mimi naweza kuwa na urafiki usio wa kingono na mdada, tukapiga tu story fresh na kusaidiana as if yeye ni mwanaume mwenzangu (kama mdada hajanivutia lakini) Hannah
Umeshasema “kama hajakuvutia”.
Lakini hata kama hajakuvutia mkianza mambo ya kualikana twende ukapaone nyumbani shetani lazima apite.
 
tusiwaamini Hakunaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke period ni suala la muda tu
Like poles repel, unlike poles attract each other.
Hukujifunza hii shuleni kwenye sayansi?
 
kosa ni kufunga mlango, ila kukwambia ulale kawaida tu.

mlikula kitimoto akapata nguvu, alikuwa anatengeneza namna ya kutumia nguvu alizopata
 
Hapo unajidanganya, rafiki yako ni huyo anayekugonga.
Hao marafiki wengine ni umalaya wako tuu.
Hiyo tabia ya kuwa na urafiki na watoto wa kiume iache mara moja.

Na ulikuwa unajirengesha, ndiyo maana akawa na confidence ya kutaka kukumega.

Kujirengeshaje we nyoko kweli,, ndio mawazo yenu tukiwafanya marafiki mnazani tunatawataka na wewe ni mmoja wao

Ukiaminiwa aminika
 
Urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume upo vizuri tu ila inategemea na nyie wenyewe mkoje (kikubwa msijenge mazingira tatanishi yakavunja urafiki wenu maana Kila mtu anaweza akawa anaheshimu urafiki ila Kuna mazingira mkiwepo ukichanganya na aina ya story mnazopiga mnaweza mkashangaa mnaamka wote kwenye kitanda kimoja bila kutongozana)

Wewe unakwenda kwake usiku upafahamu ili iweje sasa (Bora hata angekuwa na familia utasema unaenda kumsalimia wifi yako, sasa unaenda kuangalia ghetto lake la nini wakati huwezi kulala hapo hata hiyo siku nyingine ukija)
 
Alikuwa na muonekano gani kwani

Yupo smart tu yaani hana mambo ya kihuni yaani sijawah kusikia skendo mbaya kwake wala kuona ana uhuni so nilijua ni mtu wa misimamo
 
Urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume upo vizuri tu ila inategemea na nyie wenyewe mkoje (kikubwa msijenge mazingira tatanishi yakavunja urafiki wenu maana Kila mtu anaweza akawa anaheshimu urafiki ila Kuna mazingira mkiwepo ukichanganya na aina ya story mnazopiga mnaweza mkashangaa mnaamka wote kwenye kitanda kimoja bila kutongozana)

Wewe unakwenda kwake usiku upafahamu ili iweje sasa (Bora hata angekuwa na familia utasema unaenda kumsalimia wifi yako, sasa unaenda kuangalia ghetto lake la nini wakati huwezi kulala hapo hata hiyo siku nyingine ukija)

Kwa namna tunavoheshimiana sikuwaza Hilo Halafu aliposema anaishi na mdogo wake nikawa na amani
 
Yupo smart tu yaani hana mambo ya kihuni yaani sijawah kusikia skendo mbaya kwake wala kuona ana uhuni so nilijua ni mtu wa misimamo
Tena hao wanaojidai wastaarabu ndio uwaogope kabisa.
 
Back
Top Bottom