Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

Saa 3 na dakika 20 usiku unakwenda kuangalia nyumba ya mwanaume huo kama sio umalaya ni nini??!! tuwe wakweli, jaribu kufikiri kama huyo mwanaume
 
Na kitimoto yakee ukala ,

Hiv hyo ktu hamjajua tuu, kat ya urafak wa mwanamke na mwanaume kuna unafk kat ya mmoja wao
 
Tatizo mkitongozwa mnalalamika msipotongozwa mnaita watu juma lokole.
 
Umeshasema “kama hajakuvutia”.
Lakini hata kama hajakuvutia mkianza mambo ya kualikana twende ukapaone nyumbani shetani lazima apite.
Kwahiyo mfano wewe kama hujavutiwa na mwanaume, ukiwa nae gheto kwake mko wawili peke yenu, shetani atakupitia uta-sex na huyo mwanaume? 🤔 Hannah
 
Kwahiyo mfano wewe kama hujavutiwa na mwanaume, ukiwa nae gheto kwake mko wawili peke yenu, shetani atakupitia uta-sex na huyo mwanaume? 🤔 Hannah
Mimi kama mwanamke shetani hawezi kunipitia. Anayepitiwa na shetani ni mwanaume na kuanza kulazimisha vitu
 
Rafiki wa kweli atakupea japo kidunchu.. 😂😂
Yaani ukiwa na shida ya 50k siwezi kushindwa kukupa 40k na 3k ya kutolea. Huo ndio urafiki, tupeane. 😂
 

Attachments

  • cheka_time__20240218_57.jpg
    cheka_time__20240218_57.jpg
    63.8 KB · Views: 9
Ni rafiki yangu sana tunapeana madili mengi ila suala la kunilazimisha nilale kwake kwa nguvu mpk kunifungua mlango limeniudhi sana… na nia hubadilika inawezekana alikuwa nayo nzuri ila baadae angebadilisha nia
Angeomba taratibu ungempatia ?
 
Mimi kama mwanamke shetani hawezi kunipitia. Anayepitiwa na shetani ni mwanaume na kuanza kulazimisha vitu
Hata mimi, kama mdada hajanivutia, shetani hawezi kunipitia, nikiwa geto moja na mdada ambae sijavutiwa nae, na tuko peke yetu, nitapiga nae tu story, sitamuomba sex Hannah
 
Hata mimi, kama mdada hajanivutia, shetani hawezi kunipitia, nikiwa geto moja na mdada ambae sijavutiwa nae, na tuko peke yetu, nitapiga nae tu story, sitamuomba sex Hannah
Tena wewe ni mzinzi mzuri tu hamna cha kuvutiwa au kutokuvutiwa.
 
Saa 3 na dakika 20 usiku unakwenda kuangalia nyumba ya mwanaume huo kama sio umalaya ni nini??!! tuwe wakweli, jaribu kufikiri kama huyo mwanaume

Wewe bhn huku kwetu huo ndio muda tupo free,, mtu umechoka kazini unapata free time saa 2 na nimesema kwamba hatujaonana 2 years and so nina ratiba ya kusepa sikuwa na time ingine ya kuonana nae…

Halafu hicho sio kisingizio cha blablah nimeenda usiku sijui mchana ni kuwa alidhamiria hilo jambo na ndio nimejifunza hapa urafiki mwisho kwenye simu
 
Na kitimoto yakee ukala ,

Hiv hyo ktu hamjajua tuu, kat ya urafak wa mwanamke na mwanaume kuna unafk kat ya mmoja wao

Nimeshajua mkuu sitaki unafki tena
 
Back
Top Bottom