MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,538
- 21,866
Saa 3 na dakika 20 usiku unakwenda kuangalia nyumba ya mwanaume huo kama sio umalaya ni nini??!! tuwe wakweli, jaribu kufikiri kama huyo mwanaume
Kwahiyo mfano wewe kama hujavutiwa na mwanaume, ukiwa nae gheto kwake mko wawili peke yenu, shetani atakupitia uta-sex na huyo mwanaume? 🤔 HannahUmeshasema “kama hajakuvutia”.
Lakini hata kama hajakuvutia mkianza mambo ya kualikana twende ukapaone nyumbani shetani lazima apite.
Mimi kama mwanamke shetani hawezi kunipitia. Anayepitiwa na shetani ni mwanaume na kuanza kulazimisha vituKwahiyo mfano wewe kama hujavutiwa na mwanaume, ukiwa nae gheto kwake mko wawili peke yenu, shetani atakupitia uta-sex na huyo mwanaume? 🤔 Hannah
Angeomba taratibu ungempatia ?Ni rafiki yangu sana tunapeana madili mengi ila suala la kunilazimisha nilale kwake kwa nguvu mpk kunifungua mlango limeniudhi sana… na nia hubadilika inawezekana alikuwa nayo nzuri ila baadae angebadilisha nia
We jua kwamba nyege zilimzidi msamehe Urafiki uendelee.Sio siku ya kwanza ni rafiki wa muda mrefu sijui hiyo siku aliingiwa na pepo gani
Hata mimi, kama mdada hajanivutia, shetani hawezi kunipitia, nikiwa geto moja na mdada ambae sijavutiwa nae, na tuko peke yetu, nitapiga nae tu story, sitamuomba sex HannahMimi kama mwanamke shetani hawezi kunipitia. Anayepitiwa na shetani ni mwanaume na kuanza kulazimisha vitu
Shetani 😈 akipita na nyie mnapita naye.Umeshasema “kama hajakuvutia”.
Lakini hata kama hajakuvutia mkianza mambo ya kualikana twende ukapaone nyumbani shetani lazima apite.
EVA alipitiwa na nani ?! Na KENGE auMimi kama mwanamke shetani hawezi kunipitia. Anayepitiwa na shetani ni mwanaume na kuanza kulazimisha vitu
Na bado🔥🔥EVA alipitiwa na nani ?! Na KENGE au
Sababu ya mahangaiko yote hapa duniani ni Nyie.
Tena hao wanaojidai wastaarabu ndio uwaogope kabisa.
Saa 3 na dakika 20 usiku unakwenda kuangalia nyumba ya mwanaume huo kama sio umalaya ni nini??!! tuwe wakweli, jaribu kufikiri kama huyo mwanaume
Utamu si mnasikia wote shida iko wapi!?Siwezi kuliwa na rafiki bro nipo na mahusiano yangu yeye ni rafiki tu![]()
Na kitimoto yakee ukala ,
Hiv hyo ktu hamjajua tuu, kat ya urafak wa mwanamke na mwanaume kuna unafk kat ya mmoja wao
Tatizo mkitongozwa mnalalamika msipotongozwa mnaita watu juma lokole.