- Thread starter
- #41
Kulala nayo ni kitu ya kumyimia mtu..
Ndio mkuu
Kulala nayo ni kitu ya kumyimia mtu..
Si unakuwa umemsaidi rafiki yako kipenzi. Urafiki ni kusaidiana na kuchomoana katika taabu za hapa na pale.Ndugu sio ya jumuiya hii
Kadogo2 kweli,,,, siyo nije unipwerepwete
Nimeamini sitaki rafiki tena wa kiume
Hakika anastahiliPole sana
Sasa humanity kumpa lawama yeye kama mwanaume, mazingira ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke yeyete yajawai kuwa clear always mwanamke anaweza toa excuse unachotoa hapa ni excuse tu yeye hajavunja sheria yeyote bali kafanya unable wake na kukuheshimu wewe kama kimbe cha kike basi.Haiwezekani mimi na yeye kuwa wapenzi ( nilishawai kuwa na uhusiano na ndugu yake japo sio ndugu yake in such
duh tuko tofauti. mimi demu akiniwekea tu ushkaji na ikatokea tumepiga dili basiiii hata kama mwanzo nilimtamani hisia zinayeyuka nakua namuona kama dada..
Baada ya kwenda, usiku, kwa mwanaume, uliyekula kitimoto chake. Kwani huvutii na una sura mbaya kiasi kiasi kwamba ulifikiri kuwa huyu mtu hatakutamani wakati anakuambia uende kwake?Ndio maana nilitaka kuondoka

Siwezi kuliwa na rafiki bro nipo na mahusiano yangu yeye ni rafiki tu[emoji41ndo
Huyu katuangusha sana wanyambara itakuwa elimu yake ya shule ya msingi mbona mimi siko hivyo jamaa ni ms*ng* sanaHivi kina mwaisa ni Kanda ya wapi vile
Naomba tuwe marafiki 😅Umechelewa sana kujua kwamba hamna urafiki kati ya me na ke. Pole sana.
Siku hiyo aliona umenona sana akajisemea "hii haiwezekani leo lazima aliwe"Sio siku ya kwanza ni rafiki wa muda mrefu sijui hiyo siku aliingiwa na pepo gani
Mbona mimi naweza kuwa na urafiki usio wa kingono na mdada, tukapiga tu story fresh na kusaidiana as if yeye ni mwanaume mwenzangu (kama mdada hajanivutia lakini) HannahUmechelewa sana kujua kwamba hamna urafiki kati ya me na ke. Pole sana.