Wanaume ambao hawatumii pombe

Wanaume ambao hawatumii pombe

Hisia tu, ila pombe inamahusiano makubwa na umala.....
 
Kumtetea mumewe ambaye hanywi pombe. Maana si umeone jina lake kwenye Avatar anajiita ''My Hubby''

sio kumtetea Tu Bali tunasema watoe hiyo eti wasiokunywa wanapenda nyapu, ofkoz hanywi nna raha balaaa
 
Ni kweli ni wangonokaji wazuri sana. Case study mmeo na rafiki zake
 
Habari zenu,

Hivi kwanini wanaume ambao hawanywi au hawatumii pombe husakamwa kua ni walevi wa wanawake?

Nini kinawafanya watu wawafikirie vile au ni kuwaonea wivu kua hawanywi wanaokunywa hawawezi kuacha?

Hua nasikia Sana oooh ambao hawanywi pombe wanapenda Sana wanawake,mbona hata wanaokunywa pombe wanapenda wanawake Sana Tu,tena wengine mkilewa huchukua ma barmaid,wengine hujutia asubuhi akili ikimrudi kukuta kalala na kichaa ,
Yaan pombe huwafanya mfanye mambo ambayo mkiwa hamjanywa hamuwezi fanya.

Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa!!!

Upande wangu naona bora ambae hanywi kwa kweli,hata kwenye mapenzi hategemei konyagi ndio apate mzuka,wanywa pombe mpaka anywe ndio apate mzuka ,yaan akilewa ndio mfanye mapenzi kwa hiyo pombe ndio inamsisimua na sio mwili wa mwanamke,mlio na waume/au wapenzi wanaokunywa hebu jaribuni wafanye mapenzi wakiwa hawajanywa pombe muone
msiwasakame ambao hawanywi jamani

Waswahili wanasema kila mtu ana ulevi wake na kuwa mlevi wa kitu fulani au kutokuwa mlevi wa kitu fulani ni chaguo la mtu. Kama mtu sio mlevi wa pombe basi, itakuwa sigara, kama sio sigara basi itakuwa bangi na madawa ya kulevya, kama sio sigara na madawa basi inaweza kuwa uzuzraji, kama sio uzururaji basi itakuwa uzinzi, n.k. Lakini kutokuwa mlevi wa pombe haimaniishi kuwa wewe ni mlevi wa uzinzi.
 
mama kahusikaje hapa?mama angu hanywi kilevi chochote,
Huoni wanawake wanaokunywa pombe wanavyolalwa hovyo,wanajikojolea ,wanabakwa huoni pombe imewasababishia,pombe huwapa hamu ndio tofauti na asipokunywa
Acha urongo wwe...pombe africa inachukuliwa kama mzigo sijui kwanni...labda sababu ya viroba na chang'aa...fuatilia life styl ya wazungu wanapenda ulabu ila they respect it as part of leisure/relaxation...
 
Kila mmoja na tabia yake kuna wanaokunywa pombe na walevi wa wanawake na kuna waopenda wanawake na wakawa hawalewi na kuna ambao hawapendi hata kuwa na wanawake na pia hawalewi
 
sio kumtetea Tu Bali tunasema watoe hiyo eti wasiokunywa wanapenda nyapu, ofkoz hanywi nna raha balaaa
Nashukuru unafurahia penzi letu, nakuahidi sitokunywa pombe ng'o
 
nimeip
Habari zenu,

Hivi kwanini wanaume ambao hawanywi au hawatumii pombe husakamwa kua ni walevi wa wanawake?

Nini kinawafanya watu wawafikirie vile au ni kuwaonea wivu kua hawanywi wanaokunywa hawawezi kuacha?

Hua nasikia Sana oooh ambao hawanywi pombe wanapenda Sana wanawake,mbona hata wanaokunywa pombe wanapenda wanawake Sana Tu,tena wengine mkilewa huchukua ma barmaid,wengine hujutia asubuhi akili ikimrudi kukuta kalala na kichaa ,
Yaan pombe huwafanya mfanye mambo ambayo mkiwa hamjanywa hamuwezi fanya.

Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa!!!

Upande wangu naona bora ambae hanywi kwa kweli,hata kwenye mapenzi hategemei konyagi ndio apate mzuka,wanywa pombe mpaka anywe ndio apate mzuka ,yaan akilewa ndio mfanye mapenzi kwa hiyo pombe ndio inamsisimua na sio mwili wa mwanamke,mlio na waume/au wapenzi wanaokunywa hebu jaribuni wafanye mapenzi wakiwa hawajanywa pombe muone
msiwasakame ambao hawanywi jamani
nimeipenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom