Wanaume ambao hawatumii pombe

Wanaume ambao hawatumii pombe

Some wasabato wanahusika hapa,hawanywi pombe lkn nyapu wanaipenda balaa
 
Kwahiyo mwanamke anayekunywa pombe na yeye anapenda sana wanaume, hna mzuka wa tendo mpaka anywe?! Ask your mom first, then come back to us!
 
Mi mwenyewe sinywi pombe na ulipoongea ikawa unanisema mimi.
 
Kwahiyo mwanamke anayekunywa pombe na yeye anapenda sana wanaume, hna mzuka wa tendo mpaka anywe?! Ask your mom first, then come back to us!

mama kahusikaje hapa?mama angu hanywi kilevi chochote,
Huoni wanawake wanaokunywa pombe wanavyolalwa hovyo,wanajikojolea ,wanabakwa huoni pombe imewasababishia,pombe huwapa hamu ndio tofauti na asipokunywa
 
"Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa !!!" Mkuu mbona unakisingizia kiraji hakina tabia hii kabisa
 
nakusema kua unapenda wanawake Sana au?au sijakupata
Nina mawazo kama yako.Huwa nami najiuliza kupata stimu kwa kunywa pombe hiyo yote ya nini.Hiyo harufu ya pombe huwa nami siipendi. Niliwahi kukutana na mwanamke amekunywa pombe sikuwa interested nikamwambia ukweli. Akaninuliza kwani una majini? Hata sikuelewa kwa nini ananiuliza majini..kwa ufupi naafiki mawazo yako.
 
Nina mawazo kama yako.Huwa nami najiuliza kupata stimu kwa kunywa pombe hiyo yote ya nini.Hiyo harufu ya pombe huwa nami siipendi. Niliwahi kukutana na mwanamke amekunywa pombe sikuwa interested nikamwambia ukweli. Akaninuliza kwani una majini? Hata sikuelewa kwa nini ananiuliza majini..kwa ufupi naafiki mawazo yako.

kwa kweli pombe hunuka Sana ,yaan sijui umri ukienda itakuwaje mpaka kunywa ndio wapate mzuka,sijui ndio nguvu za kiume ndogo
 
pole umewahi lala na mlevi nn? maaana umewasifia saana mdomo unananuka kama choo,stata mpaka wapige funda teh teh teh teh
 
Mwanaume asiekunywa nae anakero zake... kila siku sa kumi na mbili usharudi nyumbani, tunaanza kugombea remote kwenye isidingo...

Mwanaume japo uonje kidogo, sa nyingine unachelewa kurud...

mnywaji anakuwa na confidence ya kuongea anayoshindwa akiwa kawaida... so siku akinywa utaambiwa madhaifu yako ujirekebshe kuriko ambao sio wanywaji wakakaa nayo rohon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom