Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Wahi umuone daktari, una matatizo.mi sinywi na sio muhanga wa wanawake , ni mtu na mtu mkuu
Tafta pesa tu mdogo wangu. Huo ndio mvutomkubwa kwa mwanamke. Ukiwa nao huo umemaliza.mi pombe sinywi!Papuchi napenda ila wenyewe hawanipend!Nahis sinna mvuto kwa watoto wa kike!
You must be a victimwanawaonea Sana ambao hamnywi wakati wao wakinywa wakilewa wanakua hovyo sana
"Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa !!!" Mkuu mbona unakisingizia kiraji hakina tabia hii kabisa
wanakionea sana mkuuJamaaa wanamsingizia sana mbishi wetu kiraji aiseee
Kipindi nipo chuo week end nimeenda home mzee kaniambia pinga moja uende hostel ukapate nguvu ya kusoma gari si likawa aiseee nikapiga mpaka saa sita nipo hoi ikabidi niingie room nilale halafu kesho UE kuna paper ya kibabe control engineering mbishi nikaingia kibishi na hangover zangu halafu tokeo kuja kutoka ni B+ ...kiraji kinatumia na watu smart kichwaniwanakionea sana mkuu
Kumradhi Chifu!Tutake radhi wanywaji
mama kahusikaje hapa?mama angu hanywi kilevi chochote,
Huoni wanawake wanaokunywa pombe wanavyolalwa hovyo,wanajikojolea ,wanabakwa huoni pombe imewasababishia,pombe huwapa hamu ndio tofauti na asipokunywa
Some wasabato wanahusika hapa,hawanywi pombe lkn nyapu wanaipenda balaa
anakula mirung huyo anakudanganaya big gInavyosemekana wanakuwa na kitu cha ziada wanachokipenda tofauti na pombe .......sio wote ila kwa ndugu yangu mm hanywi ila anapenda Sana big G anakwambia zinamtoa stress akianza kutafuna ni buruguntu mpaka utashangaa.